KOCHA SUPER D AENDEREA KUMWAGA SUMU KWA VIJANA WA KAMBI YA ILALA
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwaelekeza mabondia jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'upper-cut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala iliyopo Amana CCM, Dar es salaam
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya kupiga ngumi kwa kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Kambi ya mafunzo kwa Vijana yamalizika jijini Dar


10 years ago
GPLFRAT ILALA YATOA MAFUNZO YA UKOCHA KWA VIJANA 28
11 years ago
Vijimambo01 Nov
MABONDIA WAZIPIGA MAZOEZINI WAKISIMAMIWA NA KOCHA SUPER D
10 years ago
VijimamboBONDIA STANLEY MABESI 'NINJA' AMFAGILIA KOCHA SUPER D
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa katika picha na pamoja na bondia wa zamani Stanley Mabesi 'Ninja' wa pili kushoto ambaye kwa sasa anaishi nchini Holland mji wa amsterdam wengine ni mashabiki wa mchezo wa masumbwi Picha na SUPER D BOXING NEWS
10 years ago
Michuzi04 Mar
BONDIA OMARI KIMWERI AMPIGA TAFU YA VIFAA KOCHA SUPER D
Mwanasoka wa kike, Melanie Gines (kushoto) ambaye ni raia wa Hispania na bondia Omari Kimweri na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakiwa tayari kupanda ndege na kurudi kwao
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC
10 years ago
Vijimambo10 Mar
KOCHA SUPER D AMZAWADIA BONDIA 'KING CLASS MAWE' VIFAA VYA MASUMBWI
10 years ago
StarTV18 Aug
UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.
Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.
Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.
Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...
11 years ago
Michuzi12 Feb
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' aipiga jeki Uhuru Gym