MABONDIA WAZIPIGA MAZOEZINI WAKISIMAMIWA NA KOCHA SUPER D
Bondia Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika shule ya uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana
Bondia Jumaa Rashid akioneshana ubavu na Juma Biglee wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika uwanja wa shule ya uhuru uwanja wa basket yaliyokuwa yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana
Bondia Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Obago Kamata...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi19 Jul
SUPER D AWAKUTANISHA MABONDIA WAKE NA WADAU KATIKA FUTARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI7-LlbRlGwKWOlal*5wL64Xuc0sIGYervRqaii0JbhCysZMpVfewCfoq3bXy8cGM0vp8B7XPCClIt0w2EfhR4J/KICGA.jpg)
Kisiga atua mazoezini, afanya kikao na kocha
10 years ago
VijimamboSUPER D BOXING CLUB YATEUWA MABONDIA WATATU KUPIGANA MEI 23 PANANDI PANANDI
10 years ago
VijimamboBONDIA STANLEY MABESI 'NINJA' AMFAGILIA KOCHA SUPER D
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa katika picha na pamoja na bondia wa zamani Stanley Mabesi 'Ninja' wa pili kushoto ambaye kwa sasa anaishi nchini Holland mji wa amsterdam wengine ni mashabiki wa mchezo wa masumbwi Picha na SUPER D BOXING NEWS
10 years ago
Michuzi04 Mar
BONDIA OMARI KIMWERI AMPIGA TAFU YA VIFAA KOCHA SUPER D
Mwanasoka wa kike, Melanie Gines (kushoto) ambaye ni raia wa Hispania na bondia Omari Kimweri na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakiwa tayari kupanda ndege na kurudi kwao
10 years ago
Michuzi19 Aug
KOCHA SUPER D AENDEREA KUMWAGA SUMU KWA VIJANA WA KAMBI YA ILALA
![](https://4.bp.blogspot.com/-mdPIs_IKVFQ/U_JgAVYZGgI/AAAAAAAAFqg/sokkwMSTFZM/s1600/unnamed.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-aGdZJf8Y7r4/U_JcwwCOZSI/AAAAAAAAFqM/Svpa0OIArdo/s1600/5.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Mar
KOCHA SUPER D AMZAWADIA BONDIA 'KING CLASS MAWE' VIFAA VYA MASUMBWI
11 years ago
Michuzi12 Feb
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' aipiga jeki Uhuru Gym
9 years ago
MichuziKOCHA SUPER D AMNOA BONDIA IBRAHIMU CLASS "KING CLASS MAWE"