Omog: Mtibwa hawatoki Ijumaa
![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2uGJkyZU4JZvhFvTMmxvuKI7FqW25bYwXOml2TDGSIY9ONg9*I4qh*IkYwEAMK9QoZL6GRwQZX-uCiF2AzxZBT/omog.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa Azam, Joseph Omog,Na Ibrahim Mussa TAMBO zinaendelea kuelekea pambano kali kati ya Azam na Mtibwa litakalopigwa Agosti 8 katika Tamasha la Usiku wa Matumaini, Uwanja wa Taifa, Dar. Safari hii Kocha Mkuu wa Azam, Joseph Omog, ametamba kwamba atahakikisha wanaisambaratisha Mtibwa siku hiyo. Azam wameendelea kufanya mazoezi makali chini ya kocha wake huyo raia wa Cameroon ambapo juzi Jumamosi walikuwa kwenye Ufukwe...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Al Ahly hawatoki’
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.
Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQkx*9MME-1WieycDVhWSnjOpGk1WuvqyBLzidKnsPMLRMe2cgClbGZ93OHgs13FpRt6oz41rOeSLuGntVvq94J/OMG.gif?width=650)
Omog kutua na kifaa kipya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2P1TKkYDtoAEzfgyY1lnmhN4iQfkFP6IT0SGYl2UsqUkg2cahD6brTV8CGqy*V2d20nYs3ET1kXMsMrKI6XgXpG/111.jpg?width=650)
Omog aziponda Simba,Yanga
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Azam yamtupia virago Omog
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Domayo amshtua Omog Azam
11 years ago
TheCitizen15 Apr
Omog’s big plans as Azam arrive