‘Al Ahly hawatoki’
Siku mbili kabla ya kuivaa Al Ahly ya Misri katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baadhi ya wachezaji nyota wa Yanga wameapa kufuta uteja kwa klabu za Afrika Kaskazini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2uGJkyZU4JZvhFvTMmxvuKI7FqW25bYwXOml2TDGSIY9ONg9*I4qh*IkYwEAMK9QoZL6GRwQZX-uCiF2AzxZBT/omog.jpg?width=650)
Omog: Mtibwa hawatoki Ijumaa
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.
Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...
11 years ago
TheCitizen24 Feb
Okwi raring to go against Al Ahly
11 years ago
TheCitizen06 Mar
Mkwasa: We’ll attack Al Ahly
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Nadir: Tutawaduwaza Al Ahly
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75346000/jpg/_75346906_455083905.jpg)
Al Ahly look to life without Gomaa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly