Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Al Ahly hawatoki’

Siku mbili kabla ya kuivaa Al Ahly ya Misri katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baadhi ya wachezaji nyota wa Yanga wameapa kufuta uteja kwa klabu za Afrika Kaskazini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Omog: Mtibwa hawatoki Ijumaa

Kocha Mkuu wa Azam, Joseph Omog,Na Ibrahim Mussa TAMBO zinaendelea kuelekea pambano kali kati ya Azam na Mtibwa litakalopigwa Agosti 8 katika Tamasha la Usiku wa Matumaini, Uwanja wa Taifa, Dar. Safari hii Kocha Mkuu wa Azam, Joseph Omog, ametamba kwamba atahakikisha wanaisambaratisha Mtibwa siku hiyo. Azam wameendelea kufanya mazoezi makali chini ya kocha wake huyo raia wa Cameroon ambapo juzi Jumamosi walikuwa kwenye Ufukwe...

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo

PluijmNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.

Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...

 

11 years ago

TheCitizen

Okwi raring to go against Al Ahly

>After making a Premier League scoring debut for Young Africans on Saturday, Emmanuel Okwi has eyes set on taking down Al Ahly.

 

11 years ago

TheCitizen

Mkwasa: We’ll attack Al Ahly

Young Africans assistant head coach Boniface Mkwasa expects an attacking Al Ahly side when they lock horns in the second leg of the first round of the Caf Champions League on Sunday.

 

11 years ago

Mwananchi

Nadir: Tutawaduwaza Al Ahly

Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub amesema timu yao ina uwezo wa kuifunga Al Ahly kwao kama watajituma na kwenda Misri na mtazamo wa ushindi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti ya Yanga na Al Ahly

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0

Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0

 

11 years ago

BBC

Al Ahly look to life without Gomaa

Egypt's giants Al Ahly take on Sewe Sports of Ivory Coast in the Confederation Cup without the recently retired Wael Gomaa.

 

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani