Okwi raring to go against Al Ahly
>After making a Premier League scoring debut for Young Africans on Saturday, Emmanuel Okwi has eyes set on taking down Al Ahly.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAL AHLY WAMRUDISHA OKWI CAF
Mshambuliaji Yanga, Emmanuel Okwi. ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kabla ya kipute cha hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Komorozine ya Comoro, kitakachopigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, uongozi wa Yanga umekuwa kwenye kasi kubwa kuhakikisha kiungo mshambuliaji wao, Emmanuel Okwi anacheza. Awali, Yanga ilitangaza… ...
11 years ago
GPLCaf wamruhusu Okwi kuivaa Al Ahly
Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Hans Mloli na Khadija Mngwai
SHIRIKISHO la Soka Afrika (Caf), limemhalalisha mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi kuitumikia klabu yake hiyo rasmi kwenye michuano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuituma leseni yake nchini. Awali, leseni ya mchezaji huyo raia wa Uganda, ilizuiwa na shirikisho hilo lenye makao yake makuu nchini Misri kutokana na utata wa awali juu ya usajili...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Okwi: Shooting siyo kipimo cha kuikabili Al Ahly
Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi amewatahadharisha wachezaji wenzake wasihadaike na ushindi wa mabao 7-0 walioupata dhidi ya Ruvu Shooting na kudhani ni kipimo tosha kwa Al Ahly.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi
Kocha wa Mabingwa wa Soka Afrika, Al Ahly, Mohamed Youssef amesema kati ya wachezaji anaowatilia shaka na ana hofu nao katika mechi ya marudiano Jumapili itakayochezwa saa mbili kamili kwa saa za hapa nchini ni Mrisho Ngasa, Hamis Kiiza na Didier Kavumbagu.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Al Ahly hawatoki’
Siku mbili kabla ya kuivaa Al Ahly ya Misri katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baadhi ya wachezaji nyota wa Yanga wameapa kufuta uteja kwa klabu za Afrika Kaskazini.
11 years ago
BBCAl Ahly look to life without Gomaa
Egypt's giants Al Ahly take on Sewe Sports of Ivory Coast in the Confederation Cup without the recently retired Wael Gomaa.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Nadir: Tutawaduwaza Al Ahly
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub amesema timu yao ina uwezo wa kuifunga Al Ahly kwao kama watajituma na kwenda Misri na mtazamo wa ushindi.
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Al Ahly yailaza Zamalek
Al Ahly iliilaza Zamalek na kutwaa Super Cup katika mechi ya kutangulia msimu mpya ya Misri.
11 years ago
GPLYanga: Tuliwadanganya Al Ahly
Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania