Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AL AHLY WAMRUDISHA OKWI CAF

Mshambuliaji Yanga, Emmanuel Okwi. ZIKIWA zimesalia saa kadhaa kabla ya kipute cha hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Komorozine ya Comoro, kitakachopigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, uongozi wa Yanga umekuwa kwenye kasi kubwa kuhakikisha kiungo mshambuliaji wao, Emmanuel Okwi anacheza. Awali, Yanga ilitangaza… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Caf wamruhusu Okwi kuivaa Al Ahly

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Hans Mloli na Khadija Mngwai
SHIRIKISHO la Soka Afrika (Caf), limemhalalisha mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi kuitumikia klabu yake hiyo rasmi kwenye michuano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuituma leseni yake nchini. Awali, leseni ya mchezaji huyo raia wa Uganda, ilizuiwa na shirikisho hilo lenye makao yake makuu nchini Misri kutokana na utata wa awali juu ya usajili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al ahly ya misri nje ya CAF

Mabingwa mara 8 wa kombe la mabingwa Afrika al Ahly ya Misri imebanduliwa nje ya mchuano huo na Al Ahly bengazi kutoka Libya .

 

11 years ago

TheCitizen

Okwi raring to go against Al Ahly

>After making a Premier League scoring debut for Young Africans on Saturday, Emmanuel Okwi has eyes set on taking down Al Ahly.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi

Kocha wa Mabingwa wa Soka Afrika, Al Ahly, Mohamed Youssef amesema kati ya wachezaji anaowatilia shaka na ana hofu nao katika mechi ya marudiano Jumapili itakayochezwa saa mbili kamili kwa saa za hapa nchini ni Mrisho Ngasa, Hamis Kiiza na Didier Kavumbagu.

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi: Shooting siyo kipimo cha kuikabili Al Ahly

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi amewatahadharisha wachezaji wenzake wasihadaike na ushindi wa mabao 7-0 walioupata dhidi ya Ruvu Shooting na kudhani ni kipimo tosha kwa Al Ahly.

 

11 years ago

Michuzi

Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga

 Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa CAF, Issa Hayatou Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Rais wa CAF, Issa Hayatou na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Leodegar Tenga Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. --- Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemwahidi ushirikiano Rais waShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Ahadi hiyo imetolewa juzi (Februari 21 mwaka huu) makao makuu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Al Ahly hawatoki’

Siku mbili kabla ya kuivaa Al Ahly ya Misri katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baadhi ya wachezaji nyota wa Yanga wameapa kufuta uteja kwa klabu za Afrika Kaskazini.

 

11 years ago

GPL

Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly

Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani