FLORA MBASHA LIVE PERFORMANCE TANGA
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha. Waandishi wetu OHOOO! Kimenuka tena. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwanaye mdogo (jina linahifadhiwa) hahusiani hata kidogo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha huku akidai kuwa anamtambua mwanaume huyo kama mzazi mwenzake kwa mtoto mmoja tu (Liz), Risasi Jumatano linakupa zaidi. Mtoto anayedaiwa kuibuwa mazito. Akizungumza na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-giQBJDM2wM8/VL9qpB2hv0I/AAAAAAADWPU/t6rahjXgMtg/s72-c/Flora-Mbasha-Xmass-Card.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6pEZNpG8oVy6Fk3RXjSsCr4jdT9auMRfTZzcrjVF4ITcPCjp46jb3Uku9J4bG8102MHbtI23X0B4qJFSRCsJAvW/flora.jpg)
MBASHA, FLORA WAPATANA
Stori: WAANDISHI WETU HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana, Risasi Jumamosi linakuwa nambari wani kukuhabarisha.
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, wawili hao walikalishwa kikao cha upatanishi mapema wiki hii kilichokuwa chini ya familia. Mume wa Flora Mbasha, Bw. Emmanuel Mbasha. ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmkiNyONmKW6b8GJXPfuWsHT2UPvgV2OmQsf92vBYrWl2lYy9hJm8nAqfk8zwAk1bdUivUq*BxO1X9VUQg7BbdC/FLORA.jpg)
FLORA MBASHA AVAMIWA
Stori: Makongoro Oging'
SIKU chache baada ya tuhuma za ubakaji na mzozo wa familia ya mwimba Injili mahiri nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emanuel Mbasha, mambo mengine yameibuka. Mwimba Injili mahiri nchini, Flora Mbasha Yaliyoibuka safari hii ni taarifa kwamba, juzikati, Flora alivamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake, Tabata Kimanga jijiini Dar dakika chache baada ya yeye kuingia na gari akitokea mafichoni anakoishi...
9 years ago
Vijimambo10 Oct
Mbasha: Siwezi kumsamehe Flora
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/mbasha.jpg)
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha.
Brighton MasaluSiku chache baada ya mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha kufuta kesi ya kudai talaka mahakamani na kudai kuwa bado ana ‘mapenzi’ na mumewe, Emmanuel Mbasha ameibuka na kujiapiza kuwa kutokana na ukali wa mateso aliyoyapitia wakati wa kesi yake, kamwe hawezi kumsamehe mwanamke huyo.
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mbashaaaa.jpg)
Akizungumza na Ijumaa kwa njia ya simu, Jumatano ya wiki hii siku moja baada ya Flora kuamua kufuta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crtJ3WZ*HgjYoKV1VgDfO-SKVe4Mf2L0pJ8zMzpCPTPlkISKT*ZiuDmqdYNqLh7KwR*V3FEBqQs8KHasTQUZj1h/ndoa.jpg?width=650)
NDOA YA FLORA MBASHA CHALI
BAADA ya kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo chali kwa maana ya kuanguka huku ikidaiwa kuwa, kusimama imara tena inawezekana lakini ni kazi kubwa, Amani limefukunyua mazito. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha. Hilo limejitokeza wiki moja baada ya madai ya mwanaume huyo kudaiwa kumbaka shemeji yake na kesi ipo polisi....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6EvQ2FsNvKrJwvFKNHe*pniHgRlQII6ZVQR5EWGbFZAlxkCjGWlHayPQaEHNoAoudp9ypAbk0rPJNa5P6CjVQ8/mbasha.jpg)
FLORA MBASHA AIBU MARA 3
Stori: SIFAEL PAUL Shetani mbaya! Wakati jana mumewe Emmanuel Mbasha (32) akipandishwa kizimbani kwa mara ya pili kwa soo la ubakaji wa shemejiye, mwimba Injili kinara Bongo, Flora Mbasha (31) amepitia katika hatua tatu za aibu, Ijumaa lina ripoti kamili. Mwimba Injili kinara Bongo, Flora Mbasha akiwa na mumewe Flora Mbasha. Mbasha ambaye naye ni mwimba Injili na mfanyabiashara alitarajiwa kupandishwa kizimbani jana kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWSv*9hXQS7RDPY9482OQGIRFbkAvkh4nH2nJ9g58pdLxIWtIwZZ4-gg*mnjCrLCF67uYUmXtLuP9teNuaZ7rES/BACKRISASIJMOSI.gif?width=650)
FLORA AMSHTAKI TENA MBASHA!
Brighton masalu
WAKATI aliyekuwa mumewe akiwa na msala wa kubaka shemejiye mahakamani, mwimba Injili Flora Mbasha amemshtaki tena mwandani wake huyo wa zamani, Emmanuel Mbasha akidai kumpa vitisho mara kwa mara. Chanzo kilicho karibu na Flora kilipenyeza habari kuwa mara kwa mara Mbasha amekuwa akimtishia Flora ndipo mwanamuziki huyo alipoamua kumshtaki polisi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IPKvUH ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOoMhaf9XCPzEaeTR0xDkzcC28ZGou3WnXQOQEQutcqV-MqVfzUZuujxKDCIPMkur4a2c*dFKt08Nl*GcJ1enFF/AMANDA.jpg)
AMANDA AMFUNGUKIA FLORA MBASHA
Stori: Gladness Mallya
MSANII wa kike kutoka tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amemfungukia mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha akimshauri kuacha kumwanika mumewe, Emmanuel Mbasha kwenye vyombo vya habari. Msanii wa kike kutoka tasnia ya filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Flora na mumewe Mbasha, wapo kwenye mgogoro wa kifamilia huku mwanaume akikabiliwa na tuhuma za ubakaji,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania