Miyeyesho kuzipiga na Mkenya
Bondia wa Tanzania, Francis Miyeyusho atapanda ulingoni Desemba 31 kumkabili David Chalanga wa Kenya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Miyeyusho kuzipiga na Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Mabondia kuzipiga Christimass
Mabondia Francis cheka na Thomas Mashali ,leo watakuwa katika pambano la maadhimisho ya siku kuu ya Krismass
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Cheka agoma kuzipiga na Mrusi
Bingwa wa Dunia wa WBF wa uzani wa Super Middle, Francis “SMG†Cheka amegomea pambano lake la Desemba 21 na kudai hawezi kupigana.
9 years ago
Michuzicheka kuzipiga uingereza Sept 19
Bondia nyota nchini wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalum lisilo la ubingwa la uzito wa Super Middle.
Pambano hilo limepangwa kufanyika mjini Manchester Septemba 19 na maandalizi yake yamekwisha kamilika.Meneja mpya wa bondai huyo, Juma Ndambile alisema kuwa Cheka ataondoka hapa nchini Septemba 15 kwenda Uingereza kwa ajili ya pambano hilo la raundi 10.
Ndambile ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Mabondia nyota Afrika kuzipiga Tanzania
Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa ya IBF yatakayoshirikisha mabondia nyota duniani.
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Wabunge wa Tanzania wadaiwa kuzipiga Malaysia
>Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanadaiwa kupigana huko Malaysia baada ya kukutana hotelini, wakati wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), walipokuwa katika ziara ya kikazi nchini humo.
11 years ago
GPLKASEBA, MASHALI KUZIPIGA MACHI 29 MWAKA HUU
Viongozi wa ngumi na mabondia Thomas Mashali na Japhet Kaseba wakitambulisha mpambano huo.…
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MABONDIA IDDI BONGE NA ALIPHONCE MCHUMIATUMBO KUZIPIGA FEB 14
![](https://2.bp.blogspot.com/-nkIvrnejUgY/VK5KBOXznLI/AAAAAAAAG1s/oz9s9AMZjX0/s1600/6.jpg)
MABONDIA wenye uzito wa juu nchini Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Kipandu 'Iddi Bonge' watapambana Feb 14 katika ukumbi wa P.T.A sabasaba wakigombania ubingwa wa taifa pamoja na pikipiki akizungumzia mpambano huo promota Shabani Manyoka amesema kupitia kampuni ya Mahamba Incorporation Limited wameamua kuandaa mpambano huo wa uzito wa juu ambao ni admu sana nchini kufanyika na ndio mabondia wanaokubalika Duniani kote
mpambano huo wa raundi kumi utakuwa ni wa aina yake kwa kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania