Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miyeyesho kuzipiga na Mkenya

Bondia wa Tanzania, Francis Miyeyusho atapanda ulingoni Desemba 31 kumkabili David Chalanga wa Kenya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho kuzipiga na Mkenya

BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabondia kuzipiga Christimass

Mabondia Francis cheka na Thomas Mashali ,leo watakuwa katika pambano la maadhimisho ya siku kuu ya Krismass

 

11 years ago

Mwananchi

Cheka agoma kuzipiga na Mrusi

Bingwa wa Dunia wa WBF wa uzani wa Super Middle, Francis “SMG” Cheka amegomea pambano lake la Desemba 21 na kudai hawezi kupigana.

 

9 years ago

Michuzi

cheka kuzipiga uingereza Sept 19

Na Mwandishi wetu
Bondia nyota nchini wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalum lisilo la ubingwa la uzito wa Super Middle.
Pambano hilo limepangwa kufanyika mjini Manchester Septemba 19 na maandalizi yake yamekwisha kamilika.Meneja mpya wa bondai huyo, Juma Ndambile alisema kuwa Cheka ataondoka hapa nchini Septemba 15 kwenda Uingereza kwa ajili ya pambano hilo la raundi 10.
Ndambile ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mabondia nyota Afrika kuzipiga Tanzania

Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa ya IBF yatakayoshirikisha mabondia nyota duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Tanzania wadaiwa kuzipiga Malaysia

>Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanadaiwa kupigana huko Malaysia baada ya kukutana hotelini, wakati wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), walipokuwa katika ziara ya kikazi nchini humo.

 

11 years ago

GPL

KASEBA, MASHALI KUZIPIGA MACHI 29 MWAKA HUU

Viongozi wa ngumi na mabondia Thomas Mashali na Japhet Kaseba wakitambulisha mpambano huo.…

 

10 years ago

Vijimambo

MABONDIA IDDI BONGE NA ALIPHONCE MCHUMIATUMBO KUZIPIGA FEB 14

NA MWANDISHI WETU
MABONDIA wenye uzito wa juu nchini Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Kipandu 'Iddi Bonge' watapambana Feb 14 katika ukumbi wa P.T.A sabasaba wakigombania ubingwa wa taifa pamoja na pikipiki akizungumzia mpambano huo promota Shabani Manyoka amesema kupitia kampuni ya Mahamba Incorporation Limited wameamua kuandaa mpambano huo wa uzito wa juu ambao ni admu sana nchini kufanyika na ndio mabondia wanaokubalika Duniani kote

mpambano huo wa raundi kumi utakuwa ni wa aina yake kwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani