Mabondia nyota Afrika kuzipiga Tanzania
Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa ya IBF yatakayoshirikisha mabondia nyota duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Mabondia kuzipiga Christimass
Mabondia Francis cheka na Thomas Mashali ,leo watakuwa katika pambano la maadhimisho ya siku kuu ya Krismass
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MABONDIA IDDI BONGE NA ALIPHONCE MCHUMIATUMBO KUZIPIGA FEB 14
NA MWANDISHI WETU
MABONDIA wenye uzito wa juu nchini Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Kipandu 'Iddi Bonge' watapambana Feb 14 katika ukumbi wa P.T.A sabasaba wakigombania ubingwa wa taifa pamoja na pikipiki akizungumzia mpambano huo promota Shabani Manyoka amesema kupitia kampuni ya Mahamba Incorporation Limited wameamua kuandaa mpambano huo wa uzito wa juu ambao ni admu sana nchini kufanyika na ndio mabondia wanaokubalika Duniani kote
mpambano huo wa raundi kumi utakuwa ni wa aina yake kwa kuwa...
MABONDIA wenye uzito wa juu nchini Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Kipandu 'Iddi Bonge' watapambana Feb 14 katika ukumbi wa P.T.A sabasaba wakigombania ubingwa wa taifa pamoja na pikipiki akizungumzia mpambano huo promota Shabani Manyoka amesema kupitia kampuni ya Mahamba Incorporation Limited wameamua kuandaa mpambano huo wa uzito wa juu ambao ni admu sana nchini kufanyika na ndio mabondia wanaokubalika Duniani kote
mpambano huo wa raundi kumi utakuwa ni wa aina yake kwa kuwa...
11 years ago
MichuziMABONDIA KASEBA NA MASHALI WASAINI KUZIPIGA MACHI 29, 2014
Mabondia Thomas mashali na Japhet kaseba wamesaini makubaliano ya kucheza pambano la ubingwa wa mabara wa Universal Boxing Organization (UBO) pambano litakalopigwa tarehe 29 march 2014 katika ukumbi wa Karume hall zamani ukiitwa PTA hall. Pambano hilo linaandaliwa na mratibu mashuhuri katika masuala ya ngumi za kulipwa nchini hususani pande za Tanga Ally Mwanzoa alifurahishwa sana kwa nidhamu iliyooneshwa na mabondia hao wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano hayo...
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
Bondia Francis Miyeyusho (kushoto) akitunishiana misuli na Emilio Norfat ambao watazipiga kesho Jumapili October 5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane.-------------------------------------------- MABONDIA mbalimbali watazipiga siku ya Jumapili kwa ajili ya mpambano wa ubingwa ambapo bondia kutoka mkoa wa Tanga Tanzania Alen Kamote 'Rasta'' atazipiga na Osgood Kayuni wa Malawi kugombea ubingwa wa Dunia wa UBO kg 61.Hiyo ndio siku ya kufurahia kwa wakazi wa Tanga...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mabondia Deontay Wilder na Tyson Fury kuzipiga Las Vegas.
Gumzo limekua likiendelea juu ya ndondi kati ya bingwa wa uzani wa heavy mkanda wa WBC Deontay Wilder na mpinzani wake Tyson Fury watakapombana huko Las Vegas, Marekani tarehe 22 mwezi wa Februari, lakini je ni nani atakayeibusu sakafu kabla ya mwenzake?
10 years ago
Vijimambo27 Feb
MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
Mabondia Mwinyi Mzengela kushoto na Shomari Milundi wakitunishiana misuri baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao jumamosi ya kesho feb 28 utakaofanyika uwanja wa ndani wa taifa Bondia Fadhili Majiha akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Francis Miyeyusho utakaofanyika Feb 28 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa taifa Bondia Epson John wa Morogoro kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho utakaofanyika katika ukumbi wa...
9 years ago
VijimamboMABONDIA YONAS SEGU NA IDI PIALALI WAPIMA KUZITO KUZIPIGA LEO JUMAPILI
Mratibu wa mpambano wa masumbwi Antony Rutta Katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Yonas Segu kushoto na Idi Pialali kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Bondia Yonas Segu kushoto akitunishiana misuli na Idi Pialali mara baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumapili utakaofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Bondia Ismail Ndende kushoto akitambiana na Mwinyi Mzengela baada ya kupima uzito kwa...
9 years ago
MichuziMABONDIA YONAS SEGU NA IDI PIALALI WAPIMA KUZITO KUZIPIGA KESHO JUMAPILI
Mratibu wa mpambano wa masumbwi Antony Rutta Katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Yonas Segu kushoto na Idi Pialali kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili hii katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPERD BOXING NEWS
Bondia Yonas Segu kushoto akitunishiana misuli na Idi Pialali mara baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumapili utakaofanyika katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es salaam Picha na SUPERD BOXING NEWSBondia Ismail Ndende kushoto...
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Kenya yawateua mabondia wa ndondi za Afrika
Chama cha ndondi cha Kenya kimechagua mabondia 10 wanaume na watatu wa kike watakaoshiriki michezo ya mataifa ya Afrika nchini Congo Brazaville mwezi Septemba mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania