Kenya yawateua mabondia wa ndondi za Afrika
Chama cha ndondi cha Kenya kimechagua mabondia 10 wanaume na watatu wa kike watakaoshiriki michezo ya mataifa ya Afrika nchini Congo Brazaville mwezi Septemba mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
RATIBA YA MABONDIA WA TANZANIA WANAOWAKILISHA TAIFA KATIKA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA SCOTLAND (NDONDI)

Ratiba hiyo inaonyesha kuwa mashindanoo yataanza tarehe 25/07/14 na yatamalizika tarehe 02/08/14.katika ukumbi wa Secc (Hall 4A) na inaonyesha kuwa captain wa timu ya Tanzania Selemani kidunda ndiye atayeanza...
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
BBC yawateua Vijana wabunifu Kenya
Makundi mawili ya vijana wabunifu kutoka Kenya yateuliwa kuzindua mifumo ya kidijitali kwa ushirikiano na BBC
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Mabondia wataka kukumbukwa Kenya
Bondia wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Mohammed Abdullah Kent ametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kukutana na baadhi ya mabondia walioiwakilisha Kenya hapo awali.
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Mabondia nyota Afrika kuzipiga Tanzania
Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa ya IBF yatakayoshirikisha mabondia nyota duniani.
11 years ago
BBCSwahili02 May
Mabondia wa Kenya wang'ara Sri Lanka
Mabondia wa Kenya wamezoa medali tatu katika mashindano ya Ndondi ya Lions Cup yaliyomalizika leo nchini Sri Lanka.
10 years ago
MichuziMABONDIA RAMA SHAURI NA LULU KAYAGE WAPAA AFRIKA YA KUSINI
11 years ago
Michuzi
UNICEF Tanzania yawateua AY na Faraja K. Nyalandu kama Mabalozi wa kuhamasisha umma juu ya ukatili dhidi ya watoto

“Katika kituo hiki, huduma za kuwasaidia wahanga wa ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto ikiwa ni pamoja na huduma za afya, msaada wa kisaikolojia, ulinzi/usalama na msaada wa kisheria vinaweza kutolewa hapo katika eneo...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Sudy: Ndondi zimetengwa Tanga
Mwaka 1999 majina ya mabondia Abdallah Nyuki, Mambeya Bakari, Bonzo Mohamed, Karume Kenze, Mnyamisi Tamimu, Marehemu Magoma Shaaban yalikuwa yanatikisa nchini na Afrika Mashariki.
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Wateuliwa kushikiri ndondi C Brazaville
Mabondia nyota wa Kenya Benson Gicharu uzani wa bantam, Rayton Okwiri uzani wa welter na Nick Abaka uzani wa middle wameruhusiwa na shirikisho la kimataifa la ndondi, Aiba, kuiwakilisha Kenya katika michezo ya mataifa ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania