Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabondia wataka kukumbukwa Kenya

Bondia wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Mohammed Abdullah Kent ametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kukutana na baadhi ya mabondia walioiwakilisha Kenya hapo awali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yawateua mabondia wa ndondi za Afrika

Chama cha ndondi cha Kenya kimechagua mabondia 10 wanaume na watatu wa kike watakaoshiriki michezo ya mataifa ya Afrika nchini Congo Brazaville mwezi Septemba mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mabondia wa Kenya wang'ara Sri Lanka

Mabondia wa Kenya wamezoa medali tatu katika mashindano ya Ndondi ya Lions Cup yaliyomalizika leo nchini Sri Lanka.

 

11 years ago

Mwananchi

Kenya wataka sheria ya ushoga

>Mbunge Irungu Kang’ata anaongoza juhudi za kundi lililoundwa la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini  Kenya. Sheria zilizopo zinasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika tabia za ushoga na adhabu yake ni kifungo cha miaka 14 jela.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja Kenya wataka usajili

Jamii ya wapenzi wa jinsia moja Kenya inataka serikali kulazimishwa kulisajili shirika lao walilozindua kutetea masilahi yao.

 

11 years ago

GPL

NGWEA KUKUMBUKWA LEO

Stori: Mwandishi Wetu
STAA wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ leo anatarajiwa kufanyiwa shughuli ya kumbukumbu ya kifo chake. Habari kutoka ndani ya familia ya Ngwea zinasema kuwa, shughuli hiyo itafanyika leo Mei 28, nyumbani kwao Morogoro ikiwa ni mwaka mmoja timilifu tangu afariki dunia. Staa wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’. Ngwea alifariki dunia Mei 28, mwaka jana...

 

11 years ago

Mwananchi

Siku ya kukumbukwa Muungano

Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) jana walizipamba sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano, baada ya kuonyesha umahiri wa mapigano ya kujihami dhidi ya maadui kwa kutumia viungo vyao, huku baadhi ya askari wengine wakirusha ndege za kivita na kuruka na miamvuli (Parachute).

 

10 years ago

Mwananchi

Matukio ya elimu ya kukumbukwa 2014

Matukio kadhaa yanaufanya mwaka 2014 kuwa wenye kumbukumbu ya aina yake katika sekta ya elimu nchini. Fuatana na mwandishi kujua matukio hayo ya kielimu yaliyoteka hisia za watu wengi kwa mwaka mzima.

 

9 years ago

Global Publishers

Baadhi ya Matukio ya Kukumbukwa kwa Mwaka 2015

1.Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk.Jakaya Kikwwete akisalimiana na Rais wa Uganda , Yoweri Mseven baada ya kumaliza mda wake.Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Uganda, Paul Kagame baada ya kumaliza muda wake.2.Mama Salma Kikwete (katikati) akisalimiana na mmewe,Dk.Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kuachia kijiti cha uraisiMama Salma Kikwete (katikati) akisalimiana na mumewe, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete  mara baada ya kuachia kijiti cha uraisi3.Jeshi la ulinzi la Tanzania lilivyopendeza siku hiyo ya Novemba 5,2015.Jeshi la ulinzi la Tanzania lilivyopendeza siku ya kuapishwa kwa Rais Magufuli Novemba 5, 2015.4.Tukio la maji kuja daraja la jangwani kipindi cha mvua mwezi Februari 2015.Tukio la maji kujaa katika daraja la Jangwani kipindi cha mvua mwezi Februari 2015.

5.Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Dk. John Pombe Magufuli alivyoapishwa.Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...

 

11 years ago

GPL

ALBERT MANGWEHA KUKUMBUKWA KWA BONGE LA SHOW DAR LIVE LEO

Baada ya mwaka mmoja tangu kifo cha staa wa Bongp Fleva, Albert Mangweha 'Ngwair', Juni 8, 2014 kutakuwa na bonge la shoo ndani ya Dar Live kwa ajili ya kumbukumbu za msanii huyo aliyefariki akiwa nchini Afrika…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani