Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGWEA KUKUMBUKWA LEO

Stori: Mwandishi Wetu
STAA wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ leo anatarajiwa kufanyiwa shughuli ya kumbukumbu ya kifo chake. Habari kutoka ndani ya familia ya Ngwea zinasema kuwa, shughuli hiyo itafanyika leo Mei 28, nyumbani kwao Morogoro ikiwa ni mwaka mmoja timilifu tangu afariki dunia. Staa wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’. Ngwea alifariki dunia Mei 28, mwaka jana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ALBERT MANGWEHA KUKUMBUKWA KWA BONGE LA SHOW DAR LIVE LEO

Baada ya mwaka mmoja tangu kifo cha staa wa Bongp Fleva, Albert Mangweha 'Ngwair', Juni 8, 2014 kutakuwa na bonge la shoo ndani ya Dar Live kwa ajili ya kumbukumbu za msanii huyo aliyefariki akiwa nchini Afrika…

 

11 years ago

Mwananchi

Siku ya kukumbukwa Muungano

Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) jana walizipamba sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano, baada ya kuonyesha umahiri wa mapigano ya kujihami dhidi ya maadui kwa kutumia viungo vyao, huku baadhi ya askari wengine wakirusha ndege za kivita na kuruka na miamvuli (Parachute).

 

10 years ago

Mwananchi

Matukio ya elimu ya kukumbukwa 2014

Matukio kadhaa yanaufanya mwaka 2014 kuwa wenye kumbukumbu ya aina yake katika sekta ya elimu nchini. Fuatana na mwandishi kujua matukio hayo ya kielimu yaliyoteka hisia za watu wengi kwa mwaka mzima.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabondia wataka kukumbukwa Kenya

Bondia wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Mohammed Abdullah Kent ametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kukutana na baadhi ya mabondia walioiwakilisha Kenya hapo awali.

 

9 years ago

Global Publishers

Baadhi ya Matukio ya Kukumbukwa kwa Mwaka 2015

1.Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk.Jakaya Kikwwete akisalimiana na Rais wa Uganda , Yoweri Mseven baada ya kumaliza mda wake.Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Uganda, Paul Kagame baada ya kumaliza muda wake.2.Mama Salma Kikwete (katikati) akisalimiana na mmewe,Dk.Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kuachia kijiti cha uraisiMama Salma Kikwete (katikati) akisalimiana na mumewe, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete  mara baada ya kuachia kijiti cha uraisi3.Jeshi la ulinzi la Tanzania lilivyopendeza siku hiyo ya Novemba 5,2015.Jeshi la ulinzi la Tanzania lilivyopendeza siku ya kuapishwa kwa Rais Magufuli Novemba 5, 2015.4.Tukio la maji kuja daraja la jangwani kipindi cha mvua mwezi Februari 2015.Tukio la maji kujaa katika daraja la Jangwani kipindi cha mvua mwezi Februari 2015.

5.Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Dk. John Pombe Magufuli alivyoapishwa.Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NGWEA TWITTER TRIBUTE


Tarehe 28.05.2013 Tanzania ilipoteza mmoja wa wasanii aliekua na mashabiki wengi nchini Tanzania na Africa Mashariki, Albert Mangwea. Mbali na kua na muziki mzuri Albert mangwea alikua ni mtu aliependa sana ku’socialize na watu kwenye social networks sanasana twitter na katika kumbukumbu ya miaka miwili ya kifo chake tunakuletea baadhi ya tweets za Albert Mangwea alizo’tweet kipindi cha uhai wake na tungependa kuiita hii ‘NGWEA TWITTER TRIBUTE’.

Ifuatayo ni collection ya tweets za marehemu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mswaki kuomba baraka kumuiga Ngwea

MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, anayejulikana kwa jina la ‘Mswaki’ kutoka Studio ya Black Curtains amesema anatarajia kwenda mjini Morogoro kumuona mama mzazi wa marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’...

 

10 years ago

GPL

WEMA, AUNT KICHEKO KABURINI KWA NGWEA

Stori: Musa Mateja
INAWEZEKANA ilikuwa utani? Au ‘waliamka’ nazo?! Kweli binadamu anaweza kuvunjika mbavu (kicheko) juu ya kaburi la mpendwa wake? Mh! Mastaa wa Bongo, Wema Sepetu na shostito wake, Aunt Ezekiel wakiangusha kicheko katika kaburi la marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’. Lakini imetokea! Wakati dunia ikisherehekea ujio wa mwaka mpya wa 2015, mastaa wa Bongo, Wema Sepetu na shostito wake,...

 

10 years ago

GPL

NGWEA FEKI AGOMBEA MAITI YA MAMA’KE

Stori: Gabriel Ng’osha
Kijana Mohamed Said almaarufu Ngwea feki, anayefananishwa na aliyekuwa staa wa Bongo Fleva, marehemu Alberth Mangweha ‘Ngwea’, ameingia katika mzozo mkali na ndugu zake akidaiwa kugombea maiti ya mama yake mzazi, Mariamu Enock (54). Kijana Mohamed Said almaarufu Ngwea feki. Kwa mujibu wa chanzo chetu, tukio hilo lilijiri kwenye makazi ya familia hiyo, Tandale, Dar hivi karibuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani