NGWEA KUKUMBUKWA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvyzFEtHcP*hJjhuSQH8m8D7xYBac8YoNVIoouFCV3MmqmAhzSVGul7C-MogXiX3xm9qYwSV4nhu7zWkLEZVQjw/ngwea.jpg)
Stori: Mwandishi Wetu STAA wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ leo anatarajiwa kufanyiwa shughuli ya kumbukumbu ya kifo chake. Habari kutoka ndani ya familia ya Ngwea zinasema kuwa, shughuli hiyo itafanyika leo Mei 28, nyumbani kwao Morogoro ikiwa ni mwaka mmoja timilifu tangu afariki dunia. Staa wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’. Ngwea alifariki dunia Mei 28, mwaka jana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
ALBERT MANGWEHA KUKUMBUKWA KWA BONGE LA SHOW DAR LIVE LEO
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Siku ya kukumbukwa Muungano
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Matukio ya elimu ya kukumbukwa 2014
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Mabondia wataka kukumbukwa Kenya
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Baadhi ya Matukio ya Kukumbukwa kwa Mwaka 2015
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Uganda, Paul Kagame baada ya kumaliza muda wake.
Mama Salma Kikwete (katikati) akisalimiana na mumewe, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuachia kijiti cha uraisi
Jeshi la ulinzi la Tanzania lilivyopendeza siku ya kuapishwa kwa Rais Magufuli Novemba 5, 2015.
Tukio la maji kujaa katika daraja la Jangwani kipindi cha mvua mwezi Februari 2015.
Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Qjyd3shObW4/VWolU0V1YPI/AAAAAAAAB1A/lqYbNdHxIlQ/s72-c/ngwea.jpg)
NGWEA TWITTER TRIBUTE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qjyd3shObW4/VWolU0V1YPI/AAAAAAAAB1A/lqYbNdHxIlQ/s400/ngwea.jpg)
Tarehe 28.05.2013 Tanzania ilipoteza mmoja wa wasanii aliekua na mashabiki wengi nchini Tanzania na Africa Mashariki, Albert Mangwea. Mbali na kua na muziki mzuri Albert mangwea alikua ni mtu aliependa sana ku’socialize na watu kwenye social networks sanasana twitter na katika kumbukumbu ya miaka miwili ya kifo chake tunakuletea baadhi ya tweets za Albert Mangwea alizo’tweet kipindi cha uhai wake na tungependa kuiita hii ‘NGWEA TWITTER TRIBUTE’.Ifuatayo ni collection ya tweets za marehemu...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Mswaki kuomba baraka kumuiga Ngwea
MTAYARISHAJI wa muziki wa kizazi kipya nchini, anayejulikana kwa jina la ‘Mswaki’ kutoka Studio ya Black Curtains amesema anatarajia kwenda mjini Morogoro kumuona mama mzazi wa marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdiPExfrYkWXkm92ixZgRqFcC4pQM*-JtJVDk8T1CV7d9vs2GIxk1X8YLUIRqZIQTKsinIKAiUqaXnZDFrBQhrPw/FRONTRISASI.jpg)
WEMA, AUNT KICHEKO KABURINI KWA NGWEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKj5BtxNShbsVmzxaNYsPCHIeoUKReXDMblE0edbwl69oCQ5D0*qdN-06vmNeSoX5e5dhQdlZHIHTTp8M8mDTftF/ngwea.jpg)
NGWEA FEKI AGOMBEA MAITI YA MAMA’KE