NGWEA FEKI AGOMBEA MAITI YA MAMA’KE
![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKj5BtxNShbsVmzxaNYsPCHIeoUKReXDMblE0edbwl69oCQ5D0*qdN-06vmNeSoX5e5dhQdlZHIHTTp8M8mDTftF/ngwea.jpg)
Stori: Gabriel Ng’osha Kijana Mohamed Said almaarufu Ngwea feki, anayefananishwa na aliyekuwa staa wa Bongo Fleva, marehemu Alberth Mangweha ‘Ngwea’, ameingia katika mzozo mkali na ndugu zake akidaiwa kugombea maiti ya mama yake mzazi, Mariamu Enock (54). Kijana Mohamed Said almaarufu Ngwea feki. Kwa mujibu wa chanzo chetu, tukio hilo lilijiri kwenye makazi ya familia hiyo, Tandale, Dar hivi karibuni...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2
Bryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).
Bryan
Baiskeli aliyozawadiwa Bryan.
Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S
— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015
Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015
Donations have come from police, people dropping off at districts, other...
11 years ago
GPLKESI YA FAMILIA YA MISS TZ KUGOMBEA MAITI: MAMA WA MAREHEMU AIBUKA KIDEDEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68YchqHfbbDsY2e6OzxW8mLiRTAnECwur-mP71hPz7IkZjHoSh7EGRxCgwzOjICf3fbXLPIsmOQ5z8Rm1Uw8c6d/BACKUWAZI.jpg?width=650)
SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mJ3DNMC2OPc/Vin-VFrmWdI/AAAAAAAA0u8/neMinEdnq3c/s72-c/DSC_0303.jpg)
MAMA SAMIA ATUA MJINI ZANZIBAR, KUUNGURUMA NA DK. SHEIN LEO UWANJA WA DEMOKRASIA aka KIBANDA MAITI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-mJ3DNMC2OPc/Vin-VFrmWdI/AAAAAAAA0u8/neMinEdnq3c/s640/DSC_0303.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I6TIro2akPM/Vin-iE3lQQI/AAAAAAAA0vE/mePzWSpgM2M/s640/DSC_0316.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FR2Mt2m-l_A/Vin-mrA0QgI/AAAAAAAA0vM/Kj96t8cvHkU/s640/DSC_0324.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Jul
Makene agombea ubunge Kinondoni
MWANASHERIA wa siku nyingi na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Emmanuel Makene amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya wana CCM kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Kinondoni katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Bongo530 Oct
Said Fela agombea uenyekiti wa serikali za mtaa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7q5aeiddirY/Va03H2CegpI/AAAAAAAAfaE/FvIum-xVc-Y/s72-c/PM%2B1%2Bcopy.jpg)
JOSEPHINE MGAZA AGOMBEA VITI MAALUM TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7q5aeiddirY/Va03H2CegpI/AAAAAAAAfaE/FvIum-xVc-Y/s640/PM%2B1%2Bcopy.jpg)
DHAMIRA YANGU
1. Kuwaunganisha wanawake wote Wa mkoa Wa tanga
2. Kujenga jumuiya imara ya UWT. 3. Kusaidia na kuboresha maisha ya wanawake Wa makundi mbalimbali
4. Kuwa mtetezi na mwakilishi Wa wanawake katika masuala ya kijamii na kiuchumi.
5. Kusaidia uanzishwaji Wa miradi ya kiuchumi ili kupambana na umasikini.
6. Nitakuwa mtumishi wenu na sio kiongozi. Nichague Mimi nikawatumikie kwa manufaa ya wanawake...
10 years ago
Mtanzania11 May
Chris Brown agombea mtoto na raia wa Brazil
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Chris Brown, ameonekana kuendelea kumgombea mtoto anayedaiwa kuwa na mgogoro wa baba sahihi kati yake na raia wa Brazil, King Ba.
Baada ya hali hiyo, Chris Brown ameonekana akifanya juhudi za kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto huyo ili atambulike kuwa ndiye baba mzazi na juhudi hizo zinafanywa na mwanasheria wake.
Juhudi hizo alizianza baada ya kusherehekea miaka 26 ya kuzaliwa kwake akiwa na mastaa mbalimbali akiwemo bondia,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvyzFEtHcP*hJjhuSQH8m8D7xYBac8YoNVIoouFCV3MmqmAhzSVGul7C-MogXiX3xm9qYwSV4nhu7zWkLEZVQjw/ngwea.jpg)
NGWEA KUKUMBUKWA LEO