Said Fela agombea uenyekiti wa serikali za mtaa
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fela anawania uenyekiti wa serikali za katika mtaa wa Kirungure, wilayani Temeke kupitia CCM. “Leo wadau naomba dua zenu nagombea serikali ya mtaa uku kwetu kirungule na nipo na mgombea mwenzangu ndio tunagombania hiki kiti apate yeye au nibebe Mimi inshaallah,” ameandika Fela kwenye Instagram.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2IxQ5cS0N8g/VHRWRyUiG7I/AAAAAAAGzTs/y7VgdsD_VxE/s72-c/IMG-20141124-WA037.jpg)
Mgombea wa Nafasi ya Uenyekiti Serikali ya Mtaa wa Oysterbay kwa tiketi ya CCM arudisha fomu
![](http://2.bp.blogspot.com/-2IxQ5cS0N8g/VHRWRyUiG7I/AAAAAAAGzTs/y7VgdsD_VxE/s1600/IMG-20141124-WA037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SCbyS9YF2pA/VHRWUOK9CBI/AAAAAAAGzT0/IR_CQfkhb-I/s1600/IMG-20141124-WA036.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Nov
Waziri wa Kikwete agaragazwa uenyekiti wa mtaa
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, ameangushwa na Kimwei Mhita (27) katika kinyang’anyiro cha kura za maoni za kumtafuta Mwenyekiti wa Mtaa wa Masaki atakayewakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Waziri huyo ambaye alikuwa anatetea kiti hicho ambacho ameshikilia kwa muda mrefu, amejikuta akiangushwa mwishoni mwa wiki na mwanasiasa huyo kijana ambaye hana umaarufu mkubwa katika medani ya siasa za chama hicho akilinganishwa na...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Serikali ya mtaa Stop Over lawamani
WAKAZI wa Kimara Stop Over, Kata ya Saranga, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, wamemlalamikia Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Stop Over kwa kuwatoza fedha pindi wanapohitaji barua kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Rt5GttNwz4g/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZDBt_bleUvc/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CmS5YsFRpA4/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-zDzQydVn6iw/VlnL1taDRUI/AAAAAAABZXk/KALo3gV627Y/s640/vlcsnap-2015-11-28-17h41m47s240.png)
9 years ago
MichuziMPIGANAJI WA MTAA KWA MTAA BLOG,MR. PENGO WA MBEYA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
10 years ago
Michuzi21 Jan