Waziri wa Kikwete agaragazwa uenyekiti wa mtaa
Rais Jakaya Kikwete
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, ameangushwa na Kimwei Mhita (27) katika kinyang’anyiro cha kura za maoni za kumtafuta Mwenyekiti wa Mtaa wa Masaki atakayewakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Waziri huyo ambaye alikuwa anatetea kiti hicho ambacho ameshikilia kwa muda mrefu, amejikuta akiangushwa mwishoni mwa wiki na mwanasiasa huyo kijana ambaye hana umaarufu mkubwa katika medani ya siasa za chama hicho akilinganishwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Oct
Said Fela agombea uenyekiti wa serikali za mtaa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2IxQ5cS0N8g/VHRWRyUiG7I/AAAAAAAGzTs/y7VgdsD_VxE/s72-c/IMG-20141124-WA037.jpg)
Mgombea wa Nafasi ya Uenyekiti Serikali ya Mtaa wa Oysterbay kwa tiketi ya CCM arudisha fomu
![](http://2.bp.blogspot.com/-2IxQ5cS0N8g/VHRWRyUiG7I/AAAAAAAGzTs/y7VgdsD_VxE/s1600/IMG-20141124-WA037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SCbyS9YF2pA/VHRWUOK9CBI/AAAAAAAGzT0/IR_CQfkhb-I/s1600/IMG-20141124-WA036.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Rais Kikwete akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Tanzania inaunga mkono kwa dhati Ushirikiano wa Kikanda na muumini mkubwa wa Umoja wa Africa na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo jijini Nairobi mara baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa EAC na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye amekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
“Tunaamini kwamba Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyogawanyika, haitaweza kuchukua nafasi yake kamili na heshima katika familia ya Mataifa...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Naibu Waziri akutana na mgombea uenyekiti wa IPCC na Balozi wa Comoro nchini
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Rt5GttNwz4g/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZDBt_bleUvc/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-zDzQydVn6iw/VlnL1taDRUI/AAAAAAABZXk/KALo3gV627Y/s640/vlcsnap-2015-11-28-17h41m47s240.png)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CmS5YsFRpA4/default.jpg)
9 years ago
MichuziMPIGANAJI WA MTAA KWA MTAA BLOG,MR. PENGO WA MBEYA ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA