KESI YA FAMILIA YA MISS TZ KUGOMBEA MAITI: MAMA WA MAREHEMU AIBUKA KIDEDEA
Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu akiwasili katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Temeke akiongozana na Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi Nambuo. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) Dkt. Helen Kijo Bisimba akiongea jambo na Hoyce Temu.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0bfNFAOzL1T398or2A-coD7aDxWnxqdvdBFGdwdT3FoYT8Wnx0*wXXn039JB9uoAZMyeLLGQGMkaqhG8RXh4o1iZfcOCkwQm/miss.jpg?width=650)
FAMILIA YA MISS TZ YAGOMBEA MAITI
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Kesi ya kugombea maiti yapigwa kalenda
MKE wa pili wa marehemu ,Stephen Assei (52) ,Fortunata Lyimo ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kumpatia siku 14 kwa ajili ya kutafuta wakili atakayemsaidia katika kesi ya kugombea maiti....
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Lewis Hamilton aibuka kidedea
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Zitto aibuka kidedea mahakamani
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Liyumba aibuka kidedea Dar
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Halima Mdee aibuka kidedea Bawacha
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Halima Mdee aibuka kidedea wanawake CHADEMA
Mbunge wa Kawe Halima Mdee CHADEMA.
Na Mwandishi wetu
Mbunge wa Kawe Halima Mdee CHADEMA amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la wanawake wa Chama hicho (BAVICHA) unaoendelea katika ukumbi wa Mlimani City.
Akizungumza baada ya uchaguzi huo, Mdee aliwaasa wanawake kwa wanawake kuwa wamoja badala ya kupigana vijembe wao kwa wao ili maendeleo ya mwanamke yaweze kupatina na na kuondokana na mfumo dume
“Nimezoea kuona watu wanaotukashifu ni wa upande wa pili kutokana na mfumo dume uliojengeka...
11 years ago
Habarileo05 Mar
Ridhiwani aibuka kidedea kura za maoni Chalinze
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM katika Wilaya ya Bagamoyo, Ridhiwani Kikwete, ameibuka kidedea katika kura za maoni kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze.
10 years ago
Habarileo01 Jul
Mwandishi wa HabariLeo aibuka kidedea tuzo za Tanapa
MWANDISHI wa gazeti la HabariLeo mkoani Iringa, Frank Leonard ameshinda tuzo ya umahiri wa uandishi wa habari baada ya kuibuka mshindi wa kwanza (magazeti) katika kuandika habari za utalii wa ndani,tuzo ambayo ilitolewa na Hifadhi za Taifa (TANAPA).