Ridhiwani aibuka kidedea kura za maoni Chalinze
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM katika Wilaya ya Bagamoyo, Ridhiwani Kikwete, ameibuka kidedea katika kura za maoni kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
mdau cosato david chumi aibuka kidedea kura za maoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MiDynH1WFaA/VcAxLTbXnrI/AAAAAAAHttw/RQsP45oWGbE/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KURA ZA MAONI CHALINZE
Ndg.Ridhiwani Kikwete Mgombea wa ubunge katika Kura za Maoni za CCM jimbo la Chalinze akijipigia Kura leo. ...akipanga mstari (katikati) katika uwakilishi wa Kata anayotoka ya Msoga. Matokeo:
Ridhiwani Kikwete kashinda kwa kupata kura 758 kati ya kura 1321,
Ilikuwa hivi:_
1.Ridhiwani…
11 years ago
Michuzi04 Mar
NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA
Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshinda kwa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze kupitia CCM. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo kijijini Msata. Ridhiwani Kikwete amepata kura kura 758 kati ya kura 1321 zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu mdau wa soka Shaaban Iman Madega akiwa na kura 335.
Wapiga kura za maoni kumchagua mgombea wa kiti cha Ubunge cha Chalinze wakiwa tayari kupiga kura zao leo Msata, Chalinze
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7bXsQR_1gaLa7cRRVzAXfADetD4o2SOl9jc7ZQonhbTM8FaSWtQNSYY_YZT8qVVfEEo-Zfd1Bfan5ZzXl08AuI0VZj3CZT3zsTnQEeqD0FUl1h97z3xuHrSTQYRVyWg2OmVLsZ6KHA2CWVWP-tSSA6r8=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1/1962798_688078337922818_1898229911_n.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-BD7UFpa8hDduwraU9_uWGk4YkaHHpHgpINhFkkKhkBbKslIZadA3vpQ1p3FF4r72KTnX-ovXlkOP32knyPj0fy8GTYHbT8cwHFw7RoLhi5_Vj4-aUjSlgdBcYq8y3NMeI7-8yOgEAjnCo-vT5gNfAY=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/t1/1922466_688078064589512_148624167_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Bu9WYA5mJwvcX19hrsenqb5DuL7pVzxMLkRFin4NbHPIFybr_XlIPWdYxAAcMHXVDo6pxPh2uxXM0MBYoUPbgskD_obGfyOh5bIRxMRsfYzFPKe_T6sLVwVz3Xxb3RWPGLUnLBsBZpGofcyUU7Prmzp-=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1/10003938_688090411254944_622046925_n.jpg)
10 years ago
MichuziMBENA KIDEDEA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOROGORO KUSINI
Na John Nditi, Morogoro
WABUNGE wanne wa zamani katika majimbo ya mkoa wa Morogoro wamefanikiwa kutetea nafasi zao kwenye uchaguzi wa kura za maoni zilizofanyika Augosti 1, mwaka huu nchini kote kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Walionusurika kwa kutetea nafasi zao ni Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki, Celina Kombani, Ulanga Magharibi , Dk Haji Mponda, Jimbo la Morogoro Mjini Abdulaziz Abood na Jimbo la Gairo , Ahmed Shabiby .
Wabunge walioanguka katika kura za maoni ni pamoja na...
WABUNGE wanne wa zamani katika majimbo ya mkoa wa Morogoro wamefanikiwa kutetea nafasi zao kwenye uchaguzi wa kura za maoni zilizofanyika Augosti 1, mwaka huu nchini kote kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Walionusurika kwa kutetea nafasi zao ni Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki, Celina Kombani, Ulanga Magharibi , Dk Haji Mponda, Jimbo la Morogoro Mjini Abdulaziz Abood na Jimbo la Gairo , Ahmed Shabiby .
Wabunge walioanguka katika kura za maoni ni pamoja na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoYxLH8vOV7Uw6zDRPehIvtfILZHGvzr7OiSvChZGRq2ekY0MHU1B3atFzN63qQjBa03hHyJNjDd4bUh0Y-MqkH/proxy.jpg?width=650)
RIDHIWANI AANZA MBIO ZA KUSAKA KURA JIMBO LA CHALINZE
Meneja wa Kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Steven Kazidi (kushoto) akimuinua mkono juu kwa ishara ya kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo (CCM), Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa mkutano wa kwanza wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Matipwili, Saadani Wilayani Bagamoyo jana Machi 14,2014.… ...
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Jakaya Kikwete, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi, katika kata ya Ubena jana.
Wananchi wa kijiji cha Visakazi wakinyoosha mikono kuonyesha kumuuunga mkono Ridhiwani wakati wa mkutano…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10