FAMILIA YA MISS TZ YAGOMBEA MAITI
![](http://api.ning.com:80/files/0bfNFAOzL1T398or2A-coD7aDxWnxqdvdBFGdwdT3FoYT8Wnx0*wXXn039JB9uoAZMyeLLGQGMkaqhG8RXh4o1iZfcOCkwQm/miss.jpg?width=650)
Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima FAMILIA ya Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu, inadaiwa kuingia katika mzozo mkubwa wa wapi pa kumzikia mwanafamilia mwenzao, Emmanuel Lewi Nambuo Temu (33) aliyefariki dunia Februari 15 mwaka huu katika Hospitali ya Temeke, Dar. Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu. Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi Nambuo ameshikilia msimamo kwamba, mwanaye akazikwe kwenye makaburi waliyozikwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKESI YA FAMILIA YA MISS TZ KUGOMBEA MAITI: MAMA WA MAREHEMU AIBUKA KIDEDEA
10 years ago
Habarileo21 Nov
Familia yagombea urais wa Sata
VITA ya kuusaka urais nchini Zambia imeingia katika hatua nyingine baada ya ndugu watatu wa familia ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Michael Sata akiwemo mjane wake, Christine Kaseba, kuchukua fomu kugombea nafasi hiyo katika uchaguzi mdogo kupitia chama tawala.
11 years ago
CloudsFM18 Jun
FAMILIA YAKATAA KUCHUKUA MAITI MOCHWARI, KISA YANYOFOLEWA VIUNGO
Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Miss Kilimanjaro Ambassador yatoa msaada kwa familia za vijiji vya Rau na Ulu
![](https://1.bp.blogspot.com/-gxKfr--I_fE/Va0YbawA4cI/AAAAAAAANz4/lFYCl1gLTDM/s640/DSC_0046.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p1ACA3pDI5s/Va0YlMlmC-I/AAAAAAAAN0A/ZADVZhiTUAE/s640/DSC_0040.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-pla2lHXufxo/Va0YwOO_o_I/AAAAAAAAN0I/x7usUtgB1I4/s640/DSC_0048.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-NSd0BGuQuSI/Va0Y_d3hu4I/AAAAAAAAN0Q/CfeMZzC0G8g/s640/DSC_0138.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ocv51M3sOKY/Va0ZemaT06I/AAAAAAAAN0Y/bkt1QgXVbCg/s640/DSC_0212.jpg)
Warembo wanaowania taji...
11 years ago
Habarileo10 Dec
Makundi yagombea Msikiti Mkuu Bahi
KUMEZUKA hali ya sintofahamu katika Msikiti Mkuu wa Wilaya ya Bahi, ambapo makundi mawili yanayotofautiana yana hangaika kukamata msikiti huo kwa maslahi ya makundi yao.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s72-c/written-budget.jpg)
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s1600/written-budget.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXuSRhFkZKg/VgYmTxTna4I/AAAAAAAAU_8/bg4zJrFA94w/s72-c/1.jpg)
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
9 years ago
Bongo523 Dec
Miss Colombia atoa ya moyoni kuhusu kuporwa ushindi wa Miss Universe
![miss universe](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe-300x194.jpg)
Baada ya shindano la Miss Universe lililofanyika Jumapili iliyopita (Dec 20) kukumbwa na dosari ya MC kukosea kumtaja mshindi, Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi na dakika chache baadaye kupigwa na butwaa baada ya MC Steve Harvey kurudi na kutangaza kuwa alipewa ushindi kimakosa, hatimaye mrembo huyo ametoa ya moyoni na kumpongeza mshindi wa mwaka huu Miss Ufilipino.
Kupitia Instagram yake Miss Colombia , Ariadna Gutierrez aliandika ujumbe mrefu wa kugusa kuhusu kilichotokea,...