Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia yagombea urais wa Sata

VITA ya kuusaka urais nchini Zambia imeingia katika hatua nyingine baada ya ndugu watatu wa familia ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Michael Sata akiwemo mjane wake, Christine Kaseba, kuchukua fomu kugombea nafasi hiyo katika uchaguzi mdogo kupitia chama tawala.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FAMILIA YA MISS TZ YAGOMBEA MAITI

Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima
FAMILIA ya Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu, inadaiwa kuingia katika mzozo mkubwa wa wapi pa kumzikia mwanafamilia mwenzao, Emmanuel Lewi Nambuo Temu (33) aliyefariki dunia Februari 15 mwaka huu katika Hospitali ya Temeke, Dar. Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu. Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi Nambuo ameshikilia msimamo kwamba, mwanaye akazikwe kwenye makaburi waliyozikwa...

 

11 years ago

Habarileo

Makundi yagombea Msikiti Mkuu Bahi

KUMEZUKA hali ya sintofahamu katika Msikiti Mkuu wa Wilaya ya Bahi, ambapo makundi mawili yanayotofautiana yana hangaika kukamata msikiti huo kwa maslahi ya makundi yao.

 

11 years ago

Michuzi

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

Photo credits: moneymanagement.org Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production. Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi. Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio KARIBU UUNGANE NASI

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Kahama.BUZWAGI imeanzisha mkakati wa kukuza na kuboresha hali ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake kwa kuanzisha utaratibu wa kuwakutanisha wafanyakazi wa mgodi huo na familia zao mara moja kwa mwaka katika siku maalumu ya familia ambayo hutoa fursa kwa familia za wafanyakazi wa mgodi huo kuweza kujionea namna ambavyo shughuli za uchimbaji wa madini hufanyika na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa kampuni kwa ujumla.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais Sata afariki

RAIS wa Zambia, Michael Sata maarufu kama ‘King of Cobra’, amefariki dunia akiwa na miaka 77 katika hospitali ya London nchini Uingereza, alikokuwa akitibiwa ugonjwa ambao haujatajwa. Kifo chake kimetokea...

 

10 years ago

BBC

Zambian President Sata 'dies in UK'

Zambia's President Michael Sata, 77, dies in London, where he had been receiving treatment for an undisclosed illness, family sources say.

 

10 years ago

GPL

MWILI WA SATA WAWASILI ZAMBIA

Mwili wa Rais wa Zambia, Michael Sata umewasili leo kwa ndege ya kukodi kutoka London, marais wa zamani Keneth Kaunda, Rukia Banda wameongoza mapokezi, atazikwa Jumanne ya wiki ijayo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maelfu wamzika Rais Sata

MAELFU ya wananchi wa Zambia pamoja na viongozi mbalimbali duniani, jana walifurika kuhitimisha safari ya mwisho ya aliyekuwa Rais ya nchi hiyo, Michael Satta katika mazishi yake yaliyofanyika kwenye viwanja...

 

10 years ago

BBC

Zambia's Sata goes for health check

Zambia's President Michael Sata, 77, flies abroad for a medical check-up amid persistent speculation that he is seriously ill.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani