Maelfu wamzika Rais Sata
MAELFU ya wananchi wa Zambia pamoja na viongozi mbalimbali duniani, jana walifurika kuhitimisha safari ya mwisho ya aliyekuwa Rais ya nchi hiyo, Michael Satta katika mazishi yake yaliyofanyika kwenye viwanja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Jun
Maelfu wamzika Mufti Simba
RAIS Jakaya Kikwete, jana aliwaongoza maelfu ya wakazi wa Shinyanga na mikoa jirani, viongozi wa dini, Serikali na wanasiasa kumzika aliyekuwa Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Issa bin Shaaban Simba ,78, (pichani) aliyeaga dunia juzi jijini Dar es Salaam na kuzikwa jana jioni mjini hapa.
11 years ago
Habarileo07 Jan
Maelfu wamzika Dk Mgimwa kijijini kwake
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, jana waliongoza maelfu ya wakazi wa mkoani Iringa na mikoa ya jirani katika maziko ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga, Dk William Mgimwa (CCM).
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Maelfu wamzika Meyiwa Afrika Kusini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtKB9623VogzqNsm9C5DRxQuzSkmC6gC2vFyevEoU5uDMLQdCdFdjuvB9q0L*5iQZkd7-TnUy7oqgk-X1G83AiNE/_78681714_meyiiwa.jpg?width=650)
MAELFU WAMZIKA MEYIWA AFRIKA KUSINI LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLoTfumqEPY5xv4r1J8v*KadRpZoUlNSgtql46pUk63MPO2u9z01cx7DUJvjjJuAytLJFW8sjk0Cf2W0IhGzAk7N/mazikoyaak478.jpg)
MAELFU WAMZIKA MWANAMUZIKI AK47 NCHINI UGANDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC5QQwK4RgC6s9uTi2Cw7n8W8rErO9VIoXl5XABh3KppXs9xr1panU-lYW9gNNXc6OqTq*D9L0Ii9-65l1DjnJR/kuambiana4.jpg?width=600)
MAELFU WAMZIKA ADAM KUAMBIANA KINONDONI DAR
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
Michuzi12 Nov
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E-KaSUlmzJM/VGNk2plRs_I/AAAAAAAGwxc/Ny_Psyyo1PU/s640/unnamed%2B(87).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-onk4naEbBHM/VGNk209EPTI/AAAAAAAGwxk/-eFN3tcwar4/s640/unnamed%2B(88).jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Nov
MAKAMU WA RAIS, MAKINDA, WAMZIKA RAIS SATTA WA ZAMBIA