MAELFU WAMZIKA MWANAMUZIKI AK47 NCHINI UGANDA
![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLoTfumqEPY5xv4r1J8v*KadRpZoUlNSgtql46pUk63MPO2u9z01cx7DUJvjjJuAytLJFW8sjk0Cf2W0IhGzAk7N/mazikoyaak478.jpg)
Jeneza lenye mwili wa AK47 likiwa mbele ya waombolezaji. MAELFU ya wananchi nchini Uganda jana waliungana na familia, ndugu, jamaa na marafiki kumzika mwanamuziki wa dancehall nchini humo, Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47. Umati wa watu waliohudhuria mazishi ya AK47 huko Busato nchini Uganda jana. AK47 alifariki dunia usiku wa kuamkia Machi 17, 2015 baada ya kuanguka akiwa bafuni katika baa iitwayo Dejavu, iliyopo eneo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Jun
Maelfu wamzika Mufti Simba
RAIS Jakaya Kikwete, jana aliwaongoza maelfu ya wakazi wa Shinyanga na mikoa jirani, viongozi wa dini, Serikali na wanasiasa kumzika aliyekuwa Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Issa bin Shaaban Simba ,78, (pichani) aliyeaga dunia juzi jijini Dar es Salaam na kuzikwa jana jioni mjini hapa.
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Maelfu wamzika Rais Sata
MAELFU ya wananchi wa Zambia pamoja na viongozi mbalimbali duniani, jana walifurika kuhitimisha safari ya mwisho ya aliyekuwa Rais ya nchi hiyo, Michael Satta katika mazishi yake yaliyofanyika kwenye viwanja...
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Maelfu wamzika Meyiwa Afrika Kusini
11 years ago
Habarileo07 Jan
Maelfu wamzika Dk Mgimwa kijijini kwake
RAIS Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, jana waliongoza maelfu ya wakazi wa mkoani Iringa na mikoa ya jirani katika maziko ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga, Dk William Mgimwa (CCM).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC5QQwK4RgC6s9uTi2Cw7n8W8rErO9VIoXl5XABh3KppXs9xr1panU-lYW9gNNXc6OqTq*D9L0Ii9-65l1DjnJR/kuambiana4.jpg?width=600)
MAELFU WAMZIKA ADAM KUAMBIANA KINONDONI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtKB9623VogzqNsm9C5DRxQuzSkmC6gC2vFyevEoU5uDMLQdCdFdjuvB9q0L*5iQZkd7-TnUy7oqgk-X1G83AiNE/_78681714_meyiiwa.jpg?width=650)
MAELFU WAMZIKA MEYIWA AFRIKA KUSINI LEO
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Maelfu wahudhuria misa ya Papa Uganda
5 years ago
BBCSwahili14 May
Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume
11 years ago
Mwananchi11 May
Malori yaua maelfu ya watu nchini