Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malori yaua maelfu ya watu nchini

Jitihada za Serikali na wadau wengine kupunguza ongezeko la ajali nchini, zimeendelea kupambana na vikwazo baada ya kubainika kuwa malori yanachangia sehemu kubwa ya ajali hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo

Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.

 

11 years ago

Mwananchi

Malori yanaua maelfu, hakuna anayejali

>Hatuna jinsi ya kuelezea masikitiko yetu kutokana na vifo vya maelfu ya watu vinavyosababishwa na malori katika barabara zetu nchini kila kukicha. Ni vigumu kupita siku pasipo kusikia ajali za barabarani zinazotokana na malori ya mizigo.

 

11 years ago

Mwananchi

Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega

Zaidi ya magari 1,000 yamekwama kwenye Barabara Kuu ya Mwanza - Dar es Salaam katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Miguwa, wilayani Nzega, kutokana utekaji wa malori uliofanywa juzi usiku.

 

9 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi

Watu kadhaa wamejeruhiwa, mmoja yuko mahututi na amelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Ndanda wilayani Masasi baada ya watu wenye silaha kuteka malori matano toka katika kijiji cha Nangoo kilichopo barabara kuu ya Mtwara- Masasi.

 

10 years ago

Mwananchi

Malori ya TZ yasababisha ajali 227 nchini Zambia

>Wakati Serikali na wadau wa usafiri wakiendelea kutafuta mwarobaini wa ajali nchini, imeelezwa kuwa malori ya Tanzania yamesababisha ajali 227 nchini Zambia kati ya Januari na Mei.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu ya watu walala nje Nepal

Maelfu ya watu nchini Nepal wamelala nje kufuatia tetemeko la ardhi lililosababisha maafa na uharibifu mkubwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi ndoa ya ''karaha 'ilivyomsaidia kuyaokoa maisha ya maelfu ya watu

Uma alimtunza mume wake mgonjwa hadi alipokufa. Na sasa anawasaidia Wahindi wenzake kupata matibabu

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO,MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA


 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Songea waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Maji Maji mjini  humo mkoani Ruvuma,Mgombea huyo ambaye anawaomba Watanzania ridhaa ya kuwaongoza katika awamu ya tano.PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-RUVUMAMgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa mji wa Songea, ambapo alisema katika serikali yake wakulima hawatokopwa mazao yao, mbolea zitapatikana kwa wakati,...

 

11 years ago

GPL

CFAO YAANZISHA HUDUMA MPYA KWA WAMILIKI WA MALORI YA MERCEDES BENZ NCHINI‏

Msimamizi wa ufundi wa Magari aina ya Mercedes Benz kutoka kampuni ya CFAO Motors Bw. Winner Mushi (wa tatu kushoto) akionyesha matumizi ya kifaa maalum cha ukaguzi wa Malori ya Mercedes Benz (Star Diagnosis Machine) kwa baadhi ya mafundi na wasimamizi wa ufundi wa magari ya kampuni ya Bakhresa Group. Muuzaji wa vipuli vya magari ya Mercedes Benz nchini kutoka kampuni ya CFAO Motors, Emmanuel Sembua akimfafanulia jambo Meneja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani