Malori yaua maelfu ya watu nchini
Jitihada za Serikali na wadau wengine kupunguza ongezeko la ajali nchini, zimeendelea kupambana na vikwazo baada ya kubainika kuwa malori yanachangia sehemu kubwa ya ajali hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo
Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
11 years ago
Mwananchi16 May
Malori yanaua maelfu, hakuna anayejali
>Hatuna jinsi ya kuelezea masikitiko yetu kutokana na vifo vya maelfu ya watu vinavyosababishwa na malori katika barabara zetu nchini kila kukicha. Ni vigumu kupita siku pasipo kusikia ajali za barabarani zinazotokana na malori ya mizigo.
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega
Zaidi ya magari 1,000 yamekwama kwenye Barabara Kuu ya Mwanza - Dar es Salaam katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Miguwa, wilayani Nzega, kutokana utekaji wa malori uliofanywa juzi usiku.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi
Watu kadhaa wamejeruhiwa, mmoja yuko mahututi na amelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Ndanda wilayani Masasi baada ya watu wenye silaha kuteka malori matano toka katika kijiji cha Nangoo kilichopo barabara kuu ya Mtwara- Masasi.
10 years ago
Mwananchi29 May
Malori ya TZ yasababisha ajali 227 nchini Zambia
>Wakati Serikali na wadau wa usafiri wakiendelea kutafuta mwarobaini wa ajali nchini, imeelezwa kuwa malori ya Tanzania yamesababisha ajali 227 nchini Zambia kati ya Januari na Mei.
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Maelfu ya watu walala nje Nepal
Maelfu ya watu nchini Nepal wamelala nje kufuatia tetemeko la ardhi lililosababisha maafa na uharibifu mkubwa.
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Jinsi ndoa ya ''karaha 'ilivyomsaidia kuyaokoa maisha ya maelfu ya watu
Uma alimtunza mume wake mgonjwa hadi alipokufa. Na sasa anawasaidia Wahindi wenzake kupata matibabu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s72-c/_MG_0137.jpg)
MAGUFULI ALIVYOITIKISA RUVUMA LEO,MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kPUr3LGnnZQ/VeSRPCFd-EI/AAAAAAAH1WI/hhqIcIXwaEk/s640/_MG_0137.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LhCpWPRS92c/VeSRP0O-UOI/AAAAAAAH1WQ/qN1TOt_AJWs/s640/_MG_0163.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0426.jpg?width=640)
CFAO YAANZISHA HUDUMA MPYA KWA WAMILIKI WA MALORI YA MERCEDES BENZ NCHINI
Msimamizi wa ufundi wa Magari aina ya Mercedes Benz kutoka kampuni ya CFAO Motors Bw. Winner Mushi (wa tatu kushoto) akionyesha matumizi ya kifaa maalum cha ukaguzi wa Malori ya Mercedes Benz (Star Diagnosis Machine) kwa baadhi ya mafundi na wasimamizi wa ufundi wa magari ya kampuni ya Bakhresa Group. Muuzaji wa vipuli vya magari ya Mercedes Benz nchini kutoka kampuni ya CFAO Motors, Emmanuel Sembua akimfafanulia jambo Meneja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania