Malori yanaua maelfu, hakuna anayejali
>Hatuna jinsi ya kuelezea masikitiko yetu kutokana na vifo vya maelfu ya watu vinavyosababishwa na malori katika barabara zetu nchini kila kukicha. Ni vigumu kupita siku pasipo kusikia ajali za barabarani zinazotokana na malori ya mizigo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 May
Malori yaua maelfu ya watu nchini
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega
11 years ago
Habarileo15 Dec
ALAT kuunga mkono mgombea Urais anayejali ugatuaji
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi amesema kuwa jumuiya hiyo itamuunga mkono Rais ambaye atahakikisha anagatua madaraka kwenda ngazi za chini pamoja na kusimamia sheria zake.
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO6DSFqCxPcBYEtet*naxsS5FXO1hYnuYLQyfEKGr52Z*izlleh2Z92ITakJG8Y96FkRi7GnnmHJmbGXu877wGuL/3ofm.jpg?width=650)
UFUSKA KWENYE MALORI
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Malori ya msaada wa yarudi Urusi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhkBkmnZCiOOymhQvvuozeGWZFE3ILVhBMd4LKvZVSgyYBaABdYvwyflZmAq7MsZz-L8Psf0VtZkkZSXJG3WNWC/AJALI1.jpg?width=650)
AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Mar
TRA yanasa malori ya magendo
NA SAMSON CHACHA, TARIMEUKAMATWAJI wa malori yanayosafirisha mizigo kwa njia ya magendo kutoka Kenya kwa kupitia mpaka Sirari mkoani Mara, umezidi kushika kasi ambapo jana yalikamatwa matatu yaliyosheheni bidhaa mbalimbali zikiwemo nondo na saruji. Magari hayo yalikamatwa kwa ushirikiano wa Maofisa wa Forodha wa kituo cha Sirari wakishirikiana na wenzao wa kodi za ndani wilayani hapa. Akizungumzia tukio hilo, Meneja wa Forodha Mkoa wa Mara, Ben Usaje, alisema magari hayo ni fuso mbili zenye...
10 years ago
Habarileo23 Jun
Dawa ya malori Dar yaja
SERIKALI imekiri kuwa magari makubwa ya mizigo ndio yanayoharibu zaidi barabara katika maeneo mbalimbali nchini, hususan Dar es Salaam, hivyo, kuahidi kufufua reli kuzuia uharibifu usiendelee.