Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malori yanaua maelfu, hakuna anayejali

>Hatuna jinsi ya kuelezea masikitiko yetu kutokana na vifo vya maelfu ya watu vinavyosababishwa na malori katika barabara zetu nchini kila kukicha. Ni vigumu kupita siku pasipo kusikia ajali za barabarani zinazotokana na malori ya mizigo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Malori yaua maelfu ya watu nchini

Jitihada za Serikali na wadau wengine kupunguza ongezeko la ajali nchini, zimeendelea kupambana na vikwazo baada ya kubainika kuwa malori yanachangia sehemu kubwa ya ajali hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega

Zaidi ya magari 1,000 yamekwama kwenye Barabara Kuu ya Mwanza - Dar es Salaam katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Miguwa, wilayani Nzega, kutokana utekaji wa malori uliofanywa juzi usiku.

 

11 years ago

Habarileo

ALAT kuunga mkono mgombea Urais anayejali ugatuaji

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi amesema kuwa jumuiya hiyo itamuunga mkono Rais ambaye atahakikisha anagatua madaraka kwenda ngazi za chini pamoja na kusimamia sheria zake.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kilizindua mkakati wake wa ushindi “Hakuna kulala, hakuna kula mpaka kieleweke” katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kufungua mafunzo yatakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa vyama na Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

GPL

UFUSKA KWENYE MALORI

Stori:  Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
KILE kikosi maarufu kilichojizolea sifa kwa utenda kazi wake cha Operesheni Fichua Maovu (OFM) kilicho ndani ya jumba la Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers jijini Dar kinazidi kufichua uovu, twende pamoja ili kujua. Mwishoni  mwa wiki iliyopita, OFM ilitua ‘Mji Kasoro Bahari’ (Morogoro) ambapo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Morogoro, kazi kubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malori ya msaada wa yarudi Urusi.

Malori yote ya msafara wa misaada kutoka Urusi yaliosafiri bila idhini hadi mashariki mwa Ukraine yamerudi nchini Urusi.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA

Wananchi wakiwa eneo la ajali baada ya malori kugongana huko Simike, Mbeya. AJALI hii imetokea maeneo ya Simike mkoani Mbeya ikiyahusisha malori mawili na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo. Kutokana na foleni hiyo, wananchi wengi waliamua kutembea kwa miguu huku waendesha bodaboda wakipata abiria wa kumwaga kutokana na barabara hiyo kutopitika kwa muda. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO AU...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TRA yanasa malori ya magendo



NA SAMSON CHACHA, TARIMEUKAMATWAJI wa malori yanayosafirisha mizigo kwa njia ya magendo kutoka Kenya kwa kupitia mpaka Sirari mkoani Mara, umezidi kushika kasi ambapo jana yalikamatwa matatu yaliyosheheni bidhaa mbalimbali zikiwemo nondo na saruji. Magari hayo yalikamatwa kwa ushirikiano wa Maofisa wa Forodha wa kituo cha Sirari wakishirikiana na wenzao wa kodi za ndani  wilayani hapa. Akizungumzia tukio hilo, Meneja wa Forodha Mkoa wa Mara, Ben Usaje, alisema magari hayo ni fuso mbili zenye...

 

10 years ago

Habarileo

Dawa ya malori Dar yaja

SERIKALI imekiri kuwa magari makubwa ya mizigo ndio yanayoharibu zaidi barabara katika maeneo mbalimbali nchini, hususan Dar es Salaam, hivyo, kuahidi kufufua reli kuzuia uharibifu usiendelee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani