Malori ya TZ yasababisha ajali 227 nchini Zambia
>Wakati Serikali na wadau wa usafiri wakiendelea kutafuta mwarobaini wa ajali nchini, imeelezwa kuwa malori ya Tanzania yamesababisha ajali 227 nchini Zambia kati ya Januari na Mei.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhkBkmnZCiOOymhQvvuozeGWZFE3ILVhBMd4LKvZVSgyYBaABdYvwyflZmAq7MsZz-L8Psf0VtZkkZSXJG3WNWC/AJALI1.jpg?width=650)
AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA
Wananchi wakiwa eneo la ajali baada ya malori kugongana huko Simike, Mbeya. AJALI hii imetokea maeneo ya Simike mkoani Mbeya ikiyahusisha malori mawili na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo. Kutokana na foleni hiyo, wananchi wengi waliamua kutembea kwa miguu huku waendesha bodaboda wakipata abiria wa kumwaga kutokana na barabara hiyo kutopitika kwa muda. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO AU...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdYdNvYHqUWHmPf1KggPXav18nHafdl6Byz2w5CveOs33nWB3Xt4qF*GnDeAIyKhp1Hhv6lNk9p6cglKN1u0AVI2/antylulu.jpg)
MAKALIO YA AUNTY LULU YASABABISHA AJALI
Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu aliye pia mjasiriamali, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kali ya mwaka alipotoa kauli kwamba kutokana na makalio yake makubwa, anapokuwa anatembea barabarani husababisha ajali kwani baadhi ya madereva wakware hukosa umakini kwa kumkodolea macho. Msanii wa filamu aliye pia mjasiriamali, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ Akizungumzia makalio yake na matiti...
10 years ago
GPLMIUNDOMBINU MIBOVU YASABABISHA AJALI DAR
Muonekano wa sehemu ya barabara ilivyomeguka. Daladala iliyokwanguliwa wakati wa ajali hiyo. Trafiki akikagua eneo la tukio baada ya daladala hizo kugongana.…
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iMzXMcHxuWs/U7uLnf3zC6I/AAAAAAAFw_Y/TP0FNkaGr8Q/s72-c/image.jpeg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA
Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
10 years ago
GPLMVUA YASABABISHA AJALI MSIMBAZI CENTRE JIJINI DAR LEO
Watu wakishuhudia gari lililogongwa. Toyota Prado lililogonga gari dogo likishuhudiwa na wananchi.
Sehemu ya…
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo
Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200323_115501_517.jpg)
AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200323_115501_517.jpg)
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.
Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MMT3MMBZ82E/VNXYpGOVZdI/AAAAAAAHCUU/iii8bqV99lA/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
ajali ya moto yasababisha maafa ukonga Kipunguni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-MMT3MMBZ82E/VNXYpGOVZdI/AAAAAAAHCUU/iii8bqV99lA/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cCQgH_mJjGA/VNXb92b1czI/AAAAAAAHCUk/PRtTsLh5rgE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi11 May
Malori yaua maelfu ya watu nchini
Jitihada za Serikali na wadau wengine kupunguza ongezeko la ajali nchini, zimeendelea kupambana na vikwazo baada ya kubainika kuwa malori yanachangia sehemu kubwa ya ajali hizo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania