Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malori ya TZ yasababisha ajali 227 nchini Zambia

>Wakati Serikali na wadau wa usafiri wakiendelea kutafuta mwarobaini wa ajali nchini, imeelezwa kuwa malori ya Tanzania yamesababisha ajali 227 nchini Zambia kati ya Januari na Mei.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA

Wananchi wakiwa eneo la ajali baada ya malori kugongana huko Simike, Mbeya. AJALI hii imetokea maeneo ya Simike mkoani Mbeya ikiyahusisha malori mawili na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo. Kutokana na foleni hiyo, wananchi wengi waliamua kutembea kwa miguu huku waendesha bodaboda wakipata abiria wa kumwaga kutokana na barabara hiyo kutopitika kwa muda. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO AU...

 

10 years ago

GPL

MAKALIO YA AUNTY LULU YASABABISHA AJALI

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu aliye pia mjasiriamali, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kali ya mwaka alipotoa kauli kwamba kutokana na makalio yake makubwa, anapokuwa anatembea barabarani husababisha ajali kwani baadhi ya madereva wakware hukosa umakini kwa kumkodolea macho. Msanii wa filamu aliye pia mjasiriamali, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ Akizungumzia makalio yake na matiti...

 

10 years ago

GPL

MIUNDOMBINU MIBOVU YASABABISHA AJALI DAR

Muonekano wa sehemu ya barabara ilivyomeguka. Daladala iliyokwanguliwa wakati wa ajali hiyo. Trafiki akikagua eneo la tukio baada ya daladala hizo kugongana.…

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...

 

10 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA AJALI MSIMBAZI CENTRE JIJINI DAR LEO

Watu wakishuhudia gari lililogongwa. Toyota Prado lililogonga gari dogo likishuhudiwa na wananchi.
Sehemu ya…

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo

Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.

 

5 years ago

CCM Blog

AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC

Na Mwandishi Maalum, TRC
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia  ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction  mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.

Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...

 

10 years ago

Michuzi

ajali ya moto yasababisha maafa ukonga Kipunguni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam

Majirani wakiondoa vitu kwenye nyumba iliyoungua moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha watu sita kupoteza maisha huko Ukonga Kipunguni jijini Dar es salaam. Chini ni baadhi ya ndugu, jamaa na majirani wakiwa katika simanzi. Habari zaidi zitakuja baada ya kuthibitishwa na mamlaka husika.

 

11 years ago

Mwananchi

Malori yaua maelfu ya watu nchini

Jitihada za Serikali na wadau wengine kupunguza ongezeko la ajali nchini, zimeendelea kupambana na vikwazo baada ya kubainika kuwa malori yanachangia sehemu kubwa ya ajali hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani