Rais Sata afariki
RAIS wa Zambia, Michael Sata maarufu kama ‘King of Cobra’, amefariki dunia akiwa na miaka 77 katika hospitali ya London nchini Uingereza, alikokuwa akitibiwa ugonjwa ambao haujatajwa. Kifo chake kimetokea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAIS MICHAEL SATA WA ZAMBIA AFARIKI
11 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
Michuzi12 Nov
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA NOV 11, 2014
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA MSIBA WA RAIS WA ZAMBIA, MICHAEL CHILUFYA SATA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Maelfu wamzika Rais Sata
MAELFU ya wananchi wa Zambia pamoja na viongozi mbalimbali duniani, jana walifurika kuhitimisha safari ya mwisho ya aliyekuwa Rais ya nchi hiyo, Michael Satta katika mazishi yake yaliyofanyika kwenye viwanja...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Viongozi wa Afrika wamuaga Rais Sata
10 years ago
GPL
RAIS MICHAEL SATA KUZIKWA LEO
11 years ago
BBCSwahili29 Oct
Rais Michael Sata wa Zambia aaga dunia