RAIS MICHAEL SATA KUZIKWA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbV2NGJwtG9BumKR12vNfPUSIlHwILw0q1tFmW4dkOa5fEJSfBgMkb0CuYpsTcBcy*TQsnw3QIzw6bg14d27vH2I/satta100.jpg?width=650)
Rais Michael Sata enzi za uhai wake. Mazishi ya kitaifa yanafanyika nchini Zambia kumuaga hayati Rais wa nchi hiyo Michael Sata aliyefariki hospitalini mjini London Uingereza mwezi jana.Sata alikuwa na umri wa miaka 77. Katika wiki chache zilizopita, wanachi wamekuwa wakitoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo ambaye mwili wake ulikuwa umelazwa katika majengo ya bunge. Mwili wa Rais Michael Satta ukipewa heshima za… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
GPLRAIS MICHAEL SATA WA ZAMBIA AFARIKI
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Rais Michael Sata wa Zambia aaga dunia
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Rais wa Zambia Michael Sata aaga dunia
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Buriani kwa Rais Michael Sata Zambia
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-67toYJbQD6g/VFeMRIwD6CI/AAAAAAAGvT4/nZa3MZbL8is/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA MSIBA WA RAIS WA ZAMBIA, MICHAEL CHILUFYA SATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-67toYJbQD6g/VFeMRIwD6CI/AAAAAAAGvT4/nZa3MZbL8is/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bL7b8zarCJk/VFeMQohp5MI/AAAAAAAGvTs/_nu6sFJG4ao/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5FffmZ38y-Y/VFeMRCU1GxI/AAAAAAAGvTw/fBrbNQdkRUo/s1600/unnamed%2B(88).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s72-c/A_B_sata.jpg)
RAIS SATA WA ZAMBIA KUZIKWA NOVEMBA 11, 2014 JIJINI LUSAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s1600/A_B_sata.jpg)
Mwili wa Rais Sata unategemewa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka, siku ya Jumamosi tarehe 1 Novemba 2014. Mara baada ya mwili kupokelewa utapelekwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Mulungushi ambapo watu...
10 years ago
Habarileo01 Nov
Burkina Faso yapinduliwa, Sata kuzikwa Nov 11
JESHI la Ulinzi la Burkina Faso, limechukua madaraka na kutangaza kuvunja Serikali na Bunge la nchi hiyo, baada ya kuibuka kwa maandamano ya muda mrefu ya kupinga utawala wa miaka 27 ya Rais Blaise Compaore.