Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burkina Faso yapinduliwa, Sata kuzikwa Nov 11

JESHI la Ulinzi la Burkina Faso, limechukua madaraka na kutangaza kuvunja Serikali na Bunge la nchi hiyo, baada ya kuibuka kwa maandamano ya muda mrefu ya kupinga utawala wa miaka 27 ya Rais Blaise Compaore.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS MICHAEL SATA KUZIKWA LEO

Rais Michael Sata enzi za uhai wake. Mazishi ya kitaifa yanafanyika nchini Zambia kumuaga hayati Rais wa nchi hiyo Michael Sata aliyefariki hospitalini mjini London Uingereza mwezi jana.Sata alikuwa na umri wa miaka 77. Katika wiki chache zilizopita, wanachi wamekuwa wakitoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo ambaye mwili wake ulikuwa umelazwa katika majengo ya bunge. Mwili wa Rais Michael Satta ukipewa heshima za… ...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS SATA WA ZAMBIA KUZIKWA NOVEMBA 11, 2014 JIJINI LUSAKA

Serikali ya Zambia imetangaza kuwa mazishi ya Rais Michael Chilufya Sata (pichani) yatafanyika siku ya Jumanne tarehe 11 Novemba 2014, katika eneo la makaburi lililotengwa rasmi kwa ajili ya kuzikwa Marais  linaloitwa Embassy Park, Lusaka, Zambia.
Mwili wa Rais Sata unategemewa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka, siku ya Jumamosi tarehe 1 Novemba 2014. Mara baada ya mwili kupokelewa utapelekwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Mulungushi ambapo watu...

 

10 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA NOV 11, 2014

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata Ikulu mjini Lusaka Zambia Novemba 11,2014. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa kwanza (kushoto) akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Rupia Banda, Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, Rais wa Msumbiji Mhe. Ermando...

 

9 years ago

BBC

What is behind the coup in Burkina Faso?

The BBC's Lamine Konkobo looks at the issues behind the coup in Burkina Faso coup, where members of the presidential guard have overthrown the interim government.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano Burkina Faso

Raia nchini Burkina Faso wamekuwa wakiandamana Ouagadougou kupinga hatua ya walinzi wa rais ya kupindua serikali ya nchi hiyo.

 

10 years ago

BBC

Congo v Burkina Faso

Preview followed by live coverage of Sunday's Africa Cup of Nations game between Congo and Burkina Faso.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapinduzi Burkina Faso

Jeshi la Burkina Faso limefyatua risasi hewani kuwatawanya waandamanaji nje ya kituo cha Televisheni mjini Ouagadougou.

 

9 years ago

BBC

Who is who in Burkina Faso's coup?

A guide to the major players in Burkina Faso

 

9 years ago

BBC

Burkina Faso elections under way

Polls have opened in Burkina Faso to elect a new president and parliament after a year of political turmoil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani