Burkina Faso yapinduliwa, Sata kuzikwa Nov 11
JESHI la Ulinzi la Burkina Faso, limechukua madaraka na kutangaza kuvunja Serikali na Bunge la nchi hiyo, baada ya kuibuka kwa maandamano ya muda mrefu ya kupinga utawala wa miaka 27 ya Rais Blaise Compaore.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbV2NGJwtG9BumKR12vNfPUSIlHwILw0q1tFmW4dkOa5fEJSfBgMkb0CuYpsTcBcy*TQsnw3QIzw6bg14d27vH2I/satta100.jpg?width=650)
RAIS MICHAEL SATA KUZIKWA LEO
Rais Michael Sata enzi za uhai wake. Mazishi ya kitaifa yanafanyika nchini Zambia kumuaga hayati Rais wa nchi hiyo Michael Sata aliyefariki hospitalini mjini London Uingereza mwezi jana.Sata alikuwa na umri wa miaka 77. Katika wiki chache zilizopita, wanachi wamekuwa wakitoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo ambaye mwili wake ulikuwa umelazwa katika majengo ya bunge. Mwili wa Rais Michael Satta ukipewa heshima za… ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s72-c/A_B_sata.jpg)
RAIS SATA WA ZAMBIA KUZIKWA NOVEMBA 11, 2014 JIJINI LUSAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s1600/A_B_sata.jpg)
Mwili wa Rais Sata unategemewa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka, siku ya Jumamosi tarehe 1 Novemba 2014. Mara baada ya mwili kupokelewa utapelekwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Mulungushi ambapo watu...
10 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-E-KaSUlmzJM/VGNk2plRs_I/AAAAAAAGwxc/Ny_Psyyo1PU/s640/unnamed%2B%2887%29.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA NOV 11, 2014
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata Ikulu mjini Lusaka Zambia Novemba 11,2014. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa kwanza (kushoto) akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Rupia Banda, Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, Rais wa Msumbiji Mhe. Ermando...
9 years ago
BBC17 Sep
What is behind the coup in Burkina Faso?
The BBC's Lamine Konkobo looks at the issues behind the coup in Burkina Faso coup, where members of the presidential guard have overthrown the interim government.
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Maandamano Burkina Faso
Raia nchini Burkina Faso wamekuwa wakiandamana Ouagadougou kupinga hatua ya walinzi wa rais ya kupindua serikali ya nchi hiyo.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80495000/jpg/_80495096_congo.jpg)
Congo v Burkina Faso
Preview followed by live coverage of Sunday's Africa Cup of Nations game between Congo and Burkina Faso.
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Mapinduzi Burkina Faso
Jeshi la Burkina Faso limefyatua risasi hewani kuwatawanya waandamanaji nje ya kituo cha Televisheni mjini Ouagadougou.
9 years ago
BBC21 Sep
9 years ago
BBC29 Nov
Burkina Faso elections under way
Polls have opened in Burkina Faso to elect a new president and parliament after a year of political turmoil.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania