Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wateuliwa kushikiri ndondi C Brazaville

Mabondia nyota wa Kenya Benson Gicharu uzani wa bantam, Rayton Okwiri uzani wa welter na Nick Abaka uzani wa middle wameruhusiwa na shirikisho la kimataifa la ndondi, Aiba, kuiwakilisha Kenya katika michezo ya mataifa ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

18 wateuliwa timu ya taifa kikapu

SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waamuzi wa Tanzania wateuliwa na CAF

CAF limewateua waamuzi wa kike wa Tanzania kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia U-20 mwaka 2016 kati ya Congo DR dhidi ya Gabon.

 

9 years ago

Habarileo

Mawaziri wapya wanne wateuliwa

RAIS John Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza Baraza la Mawaziri la Kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake.

 

10 years ago

Dewji Blog

27 wateuliwa kuwa makatibu wa CCM wilaya

3

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

11 years ago

Mwananchi

Majaji Jundu, Rutakangwa wateuliwa Mahakama EAC

Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamewateua majaji watatu kufanya kazi katika Mahakama ya Afrika ya Mashariki. Walioteuliwa ni Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Edward Rutakangwa na Jaji Kiongozi wa Tanzania, Fakihi Jundu. Mwingine ni Aaron Ringera wa Kenya.

 

10 years ago

Vijimambo

27 WATEULIWA KUWA MAKATIBU WAPYA WA CCM WILAYA



Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

9 years ago

Mwananchi

Manaibu waziri wa JK waula, wateuliwa mawaziri kamili

Uteuzi wa baraza la mawaziri uliofanywa na Rais Magufuli jana umewanufaisha baadhi ya naibu mawaziri wa awamu ya nne ambao wamepanda na kuwa mawaziri kamili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu Congo Brazaville wakimbilia DRC

Wakimbizi kutoka Congo Brazaville wanakimbilia Congo Kinshasa. Kunani?

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yatia aibu Congo Brazaville

Jahazi la Tanzania katika michezo ya Afrika nchini Congo –Brazzaville limezama katika michezo ya Afrika baada ya awali kwenda mrama katika michezo ambayo timu hizo zilishiriki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani