Manaibu waziri wa JK waula, wateuliwa mawaziri kamili
Uteuzi wa baraza la mawaziri uliofanywa na Rais Magufuli jana umewanufaisha baadhi ya naibu mawaziri wa awamu ya nne ambao wamepanda na kuwa mawaziri kamili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
TASWIRA YA RAIS KIKWETE KUWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU JANA
9 years ago
Michuzi
RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI LEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

9 years ago
Habarileo24 Dec
Mawaziri wapya wanne wateuliwa
RAIS John Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza Baraza la Mawaziri la Kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake.
11 years ago
Mtanzania09 Oct
Mawaziri, manaibu kuwa 40

Mwenyekiti wa Kamati ya uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, Andrew Chenge
NA DEBORA SANJA, DODOMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalumu la Katiba, Andrew Chenge amesema Katiba inayopendekezwa imeongezwa masuala kadhaa ikiwamo ukomo wa mawaziri na manaibu wao ambao sasa hawatazidi 40.
Mbali na hilo, alisema idadi ya wabunge wa kuchaguliwa na kuteuliwa watakuwa 340 hadi 390.
Chenge aliyasema hayo jana mjini hapa ambapo aliweka wazi kuwa mabadiliko hayo yametokana na...
10 years ago
GPL24 Jan
10 years ago
GPL
RAIS ABADILI MAWAZIRI NA MANAIBU WAO
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Manaibu waziri kuangushwa Serengeti
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Waziri wa fedha, manaibu wajitambulisha Zanzibar