Mabondia kuzipiga Christimass
Mabondia Francis cheka na Thomas Mashali ,leo watakuwa katika pambano la maadhimisho ya siku kuu ya Krismass
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Mabondia nyota Afrika kuzipiga Tanzania
Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa ya IBF yatakayoshirikisha mabondia nyota duniani.
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RA2dpPjaP5s/UwRtgByYzNI/AAAAAAAFN5w/SwxR3bntw6U/s72-c/unnamed+(55).jpg)
MABONDIA KASEBA NA MASHALI WASAINI KUZIPIGA MACHI 29, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-RA2dpPjaP5s/UwRtgByYzNI/AAAAAAAFN5w/SwxR3bntw6U/s1600/unnamed+(55).jpg)
Mabondia Thomas mashali na Japhet kaseba wamesaini makubaliano ya kucheza pambano la ubingwa wa mabara wa Universal Boxing Organization (UBO) pambano litakalopigwa tarehe 29 march 2014 katika ukumbi wa Karume hall zamani ukiitwa PTA hall. Pambano hilo linaandaliwa na mratibu mashuhuri katika masuala ya ngumi za kulipwa nchini hususani pande za Tanga Ally Mwanzoa alifurahishwa sana kwa nidhamu iliyooneshwa na mabondia hao wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano hayo...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MABONDIA IDDI BONGE NA ALIPHONCE MCHUMIATUMBO KUZIPIGA FEB 14
![](https://2.bp.blogspot.com/-nkIvrnejUgY/VK5KBOXznLI/AAAAAAAAG1s/oz9s9AMZjX0/s1600/6.jpg)
MABONDIA wenye uzito wa juu nchini Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Kipandu 'Iddi Bonge' watapambana Feb 14 katika ukumbi wa P.T.A sabasaba wakigombania ubingwa wa taifa pamoja na pikipiki akizungumzia mpambano huo promota Shabani Manyoka amesema kupitia kampuni ya Mahamba Incorporation Limited wameamua kuandaa mpambano huo wa uzito wa juu ambao ni admu sana nchini kufanyika na ndio mabondia wanaokubalika Duniani kote
mpambano huo wa raundi kumi utakuwa ni wa aina yake kwa kuwa...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mabondia Deontay Wilder na Tyson Fury kuzipiga Las Vegas.
Gumzo limekua likiendelea juu ya ndondi kati ya bingwa wa uzani wa heavy mkanda wa WBC Deontay Wilder na mpinzani wake Tyson Fury watakapombana huko Las Vegas, Marekani tarehe 22 mwezi wa Februari, lakini je ni nani atakayeibusu sakafu kabla ya mwenzake?
10 years ago
Vijimambo27 Feb
MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
9 years ago
MichuziMABONDIA YONAS SEGU NA IDI PIALALI WAPIMA KUZITO KUZIPIGA KESHO JUMAPILI
9 years ago
VijimamboMABONDIA YONAS SEGU NA IDI PIALALI WAPIMA KUZITO KUZIPIGA LEO JUMAPILI
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Miyeyesho kuzipiga na Mkenya
Bondia wa Tanzania, Francis Miyeyusho atapanda ulingoni Desemba 31 kumkabili David Chalanga wa Kenya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania