Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waarabu wampa Okwi sh 800M

PAMOJA na kuelezwa kuwa thamani ya mshambuliaji Emmanuel Okwi imeshuka hadi dola 205,000 (Sh milioni 328), klabu ya Al Ain ya Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza dola 500,000 (zaidi ya Sh milioni 800) ili kumnasa. Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Al Ain ndiyo timu anayochezea mshambuliaji nyota wa Ghana, Asamoah Gyan na imekubali kumlipa Okwi kitita cha dola 10,000 (Sh milioni 16) kwa mwezi, yeye mwenye anajua. Iwapo biashara hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Okwi awapa Yanga mambo matatu Waarabu wafe

Shambuliaji hatari wa Simba, Emmanuel Okwi. Johnson James, Mwanza
MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi, amewapongeza wapinzani wake wakubwa, Yanga, baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini pia amewapa mambo matatu ili wawang’oe Waarabu. Yanga kwa sasa inatarajiwa kuvaana na Etoile du Sahel ya Tunisia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora baada ya kuitupa nje Platinum ya...

 

10 years ago

GPL

WAZUNGU WAMPA OKWI MSHAHARA WA SAMATTA

Emmanuel Okwi akikabidhiwa jezi na mmoja viongozi wa juu wa timu ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KLABU ya Daraja la Kwanza ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark, imemnasa mshambuliaji Emmanuel Okwi na kumpa mkataba wa miaka mitano. Pamoja na dau la usajili kuonekana ni siri, lakini Okwi atakuwa akilamba mshahara wa dola 10,000 (Sh milioni 20) kwa mwezi. Kiasi hicho cha mshahara...

 

10 years ago

For Disabled People's Education

Kinondoni council eyes 800m/


Kinondoni council eyes 800m/- for disabled people's education
Daily News
KINONDONI municipality in Dar es Salaam region, in collaboration with Beula Communications, has organized a campaign aimed at raising 800m/- in cash and equipment to enable students with various forms of disability access quality education. To support ...

 

11 years ago

BBC

Amos beats Rudisha to 800m gold

Nijel Amos from Botswana produces a stunning run down the final straight to beat David Rudisha to 800m Commonwealth gold.

 

9 years ago

Mwananchi

Vita ya Simba ya Sh400m dhidi ya Yanga ya 800m

Sahau kabisa kuhusu siasa za Ukawa na CCM na wagombea wao, Edward Lowassa na Dk John Magufuli, ambazo zimekuwa gumzo siku hizi.

 

10 years ago

TheCitizen

Dar seeks $800m to spur shilling, plug budget hole

BoT official says the money is expected from two foreign banks before the end of this month

 

5 years ago

BBC

David Rudisha: Olympic 800m champion on personal struggles, and Tokyo comeback

They said David Rudisha outshone Usain Bolt at London 2012. He won his second 800m Olympic title in 2016. The years since have not been easy.

 

11 years ago

GPL

KIAMA CHA WAARABU

Na Saleh Ally, Cairo
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga,  wanaondoka leo kwenda mjini Alexandria kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya Al Ahly ambao wana mbinu nyingi za nje na ndani ya uwanja. Hakuna ubishi mechi ni ngumu, lakini Yanga wakijipanga, wakatulia na kufanya wanachotaka kukifanya, huenda kikawa ni kiama cha Waarabu hao wanaoongoza kwa kuchukua makombe ya kimataifa kuliko klabu yoyote duniani. Mechi ya kwanza,...

 

10 years ago

GPL

Yanga SC yawaotea Waarabu

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, jeuri sana, kwani amefanya mazoezi mara mbili na kikosi chake kisha akawasisitizia wachezaji wake kwamba, wote lazima wakabe kisawasawa kuanzia mwanzo hadi mwisho katika mchezo wao dhidi ya Etoile du Sahel leo Jumamosi usiku. Yanga ipo jijini hapa tangu juzi kujiandaa na mchezo wake wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Etoile du Sahel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani