WAZUNGU WAMPA OKWI MSHAHARA WA SAMATTA

Emmanuel Okwi akikabidhiwa jezi na mmoja viongozi wa juu wa timu ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KLABU ya Daraja la Kwanza ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark, imemnasa mshambuliaji Emmanuel Okwi na kumpa mkataba wa miaka mitano. Pamoja na dau la usajili kuonekana ni siri, lakini Okwi atakuwa akilamba mshahara wa dola 10,000 (Sh milioni 20) kwa mwezi. Kiasi hicho cha mshahara...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Waarabu wampa Okwi sh 800M
11 years ago
GPL
Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga
11 years ago
GPL
Loga: Nitasajili Wazungu
9 years ago
Global Publishers01 Jan
AY: Wazungu wamenitibulia sapraizi
Ambwene Yesaya ‘AY ‘.
Gabriel ng’osha
Hii nayo kali! Unajua AY na ngoma yake iitwayo Zigo, sasa basi jamaa alifanya remix ya wimbo huo akimshirikisha Diamond kisha kutaka kufanya sapraizi kwa Wabongo.
Unajua kilichotokea? Unaambiwa Wazungu ambao ndiyo waliotengeneza kichupa cha wimbo huo wakawapiga picha kisha kuziachia mtandaoni, kitendo kilichotibua kila kitu.
“Nilitaka kufanya sapraizi kwa kufanya video ya wimbo huo kwa siri kisha kuja kuiachia kwa kuwashtukiza. Kumbe bwana Wazungu...
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mugabe awafukuza wakulima wazungu
9 years ago
Mwananchi06 Dec
‘Wazungu wa unga’ wanolewa panga
11 years ago
GPL
Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba
10 years ago
TheCitizen04 Sep
Lessons from Beijing athletes and the ‘Wazungu’ line
11 years ago
Mwananchi30 Sep
Waarabu, Wazungu walivyochangia kukua na kuenea Kiswahili