Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZUNGU WAMPA OKWI MSHAHARA WA SAMATTA

Emmanuel Okwi akikabidhiwa jezi na mmoja viongozi wa juu wa timu ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KLABU ya Daraja la Kwanza ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark, imemnasa mshambuliaji Emmanuel Okwi na kumpa mkataba wa miaka mitano. Pamoja na dau la usajili kuonekana ni siri, lakini Okwi atakuwa akilamba mshahara wa dola 10,000 (Sh milioni 20) kwa mwezi. Kiasi hicho cha mshahara...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Waarabu wampa Okwi sh 800M

PAMOJA na kuelezwa kuwa thamani ya mshambuliaji Emmanuel Okwi imeshuka hadi dola 205,000 (Sh milioni 328), klabu ya Al Ain ya Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza dola 500,000 (zaidi ya Sh milioni 800) ili kumnasa. Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Al Ain ndiyo timu anayochezea mshambuliaji nyota wa Ghana, Asamoah Gyan na imekubali kumlipa Okwi kitita cha dola 10,000 (Sh milioni 16) kwa mwezi, yeye mwenye anajua. Iwapo biashara hiyo...

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga

Mshambiliaji  wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa  Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...

 

11 years ago

GPL

Loga: Nitasajili Wazungu

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
MCHAKAMCHAKA wa kuhakikisha Simba inafanya vema msimu ujao na kurudisha hadhi ya timu hiyo ambayo imekuwa ikiyumba, mpango wa kuongeza wachezaji wenye kiwango cha juu unafanyika ambapo kuna mpango wa kusajili wachezaji kutoka nchini Croatia. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia amesema yupo kwenye maandalizi ya usajili...

 

9 years ago

Global Publishers

AY: Wazungu wamenitibulia sapraizi

Ambwene Yesaya (2)Ambwene Yesaya ‘AY ‘.

Gabriel ng’osha
Hii nayo kali! Unajua AY na ngoma yake iitwayo Zigo, sasa basi jamaa alifanya remix ya wimbo huo akimshirikisha Diamond kisha kutaka kufanya sapraizi kwa Wabongo.

Unajua kilichotokea? Unaambiwa Wazungu ambao ndiyo waliotengeneza kichupa cha wimbo huo wakawapiga picha kisha kuziachia mtandaoni, kitendo kilichotibua kila kitu.

“Nilitaka kufanya sapraizi kwa kufanya video ya wimbo huo kwa siri kisha kuja kuiachia kwa kuwashtukiza. Kumbe bwana Wazungu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mugabe awafukuza wakulima wazungu

Rais Robert Mugabe, amewataka wakulima wazungu waliosalia nchini humo kuondoka na kuwaachia mashamba wazalendo wa nchi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Wazungu wa unga’ wanolewa panga

Siku za wauza unga sasa zinahesabika baada ya Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kuvunjwa rasmi na chombo kingine kitakachokuwa na mamlaka ya kuchunguza, kukamata, kupekua, kuteketeza na kuwapeleka mahakama kikitarajiwa kuundwa hivi karibuni.

 

11 years ago

GPL

Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba

Amissi Cedric. Na Mwandishi Wetu
WAKATI Simba imeshaanza harakati za kumnasa Amissi Cedric ili ajiunge nayo msimu ujao, kuna taarifa timu za Ubelgiji na Ulaya Mashariki zimeanza mipango ya kumnasa. Cedric, raia wa Burundi, anayekipiga katika kikosi cha Rayon Sports ya Rwanda, amekuwa kivutio kwa Simba tangu msimu uliopita na siku chache zilizopita ilifanya naye mazungumzo baada ya kuja nchi akiwa na timu yake ya taifa ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Lessons from Beijing athletes and the ‘Wazungu’ line

One thing I have come to appreciate in Wazungu is their culture of learning from mistakes. These people evolve constantly because they have a culture of evaluating and appraising.

 

11 years ago

Mwananchi

Waarabu, Wazungu walivyochangia kukua na kuenea Kiswahili

Katika karne ya 19, Afrika Mashariki iliingia kwenye uhusiano na mataifa mengine kama vile Ujerumani na Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani