Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mugabe awafukuza wakulima wazungu

Rais Robert Mugabe, amewataka wakulima wazungu waliosalia nchini humo kuondoka na kuwaachia mashamba wazalendo wa nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

AY: Wazungu wamenitibulia sapraizi

Ambwene Yesaya (2)Ambwene Yesaya ‘AY ‘.

Gabriel ng’osha
Hii nayo kali! Unajua AY na ngoma yake iitwayo Zigo, sasa basi jamaa alifanya remix ya wimbo huo akimshirikisha Diamond kisha kutaka kufanya sapraizi kwa Wabongo.

Unajua kilichotokea? Unaambiwa Wazungu ambao ndiyo waliotengeneza kichupa cha wimbo huo wakawapiga picha kisha kuziachia mtandaoni, kitendo kilichotibua kila kitu.

“Nilitaka kufanya sapraizi kwa kufanya video ya wimbo huo kwa siri kisha kuja kuiachia kwa kuwashtukiza. Kumbe bwana Wazungu...

 

11 years ago

GPL

Loga: Nitasajili Wazungu

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
MCHAKAMCHAKA wa kuhakikisha Simba inafanya vema msimu ujao na kurudisha hadhi ya timu hiyo ambayo imekuwa ikiyumba, mpango wa kuongeza wachezaji wenye kiwango cha juu unafanyika ambapo kuna mpango wa kusajili wachezaji kutoka nchini Croatia. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia amesema yupo kwenye maandalizi ya usajili...

 

11 years ago

GPL

Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba

Amissi Cedric. Na Mwandishi Wetu
WAKATI Simba imeshaanza harakati za kumnasa Amissi Cedric ili ajiunge nayo msimu ujao, kuna taarifa timu za Ubelgiji na Ulaya Mashariki zimeanza mipango ya kumnasa. Cedric, raia wa Burundi, anayekipiga katika kikosi cha Rayon Sports ya Rwanda, amekuwa kivutio kwa Simba tangu msimu uliopita na siku chache zilizopita ilifanya naye mazungumzo baada ya kuja nchi akiwa na timu yake ya taifa ya...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Wazungu wa unga’ wanolewa panga

Siku za wauza unga sasa zinahesabika baada ya Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kuvunjwa rasmi na chombo kingine kitakachokuwa na mamlaka ya kuchunguza, kukamata, kupekua, kuteketeza na kuwapeleka mahakama kikitarajiwa kuundwa hivi karibuni.

 

9 years ago

TheCitizen

Lessons from Beijing athletes and the ‘Wazungu’ line

One thing I have come to appreciate in Wazungu is their culture of learning from mistakes. These people evolve constantly because they have a culture of evaluating and appraising.

 

10 years ago

GPL

WAZUNGU WAMPA OKWI MSHAHARA WA SAMATTA

Emmanuel Okwi akikabidhiwa jezi na mmoja viongozi wa juu wa timu ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KLABU ya Daraja la Kwanza ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark, imemnasa mshambuliaji Emmanuel Okwi na kumpa mkataba wa miaka mitano. Pamoja na dau la usajili kuonekana ni siri, lakini Okwi atakuwa akilamba mshahara wa dola 10,000 (Sh milioni 20) kwa mwezi. Kiasi hicho cha mshahara...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA

Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hata wazungu wanawatambua kina Mama Lishe!

CSC_0240

Pichani ni Raia wa Kigeni walipokutwa na Camera ya MOblog mjini Iringa wakijipatia mlo wa mchana kwa Mama Lishe wanaofanyabiashara zao ndani ya uzio wa kituo cha Redio Nuru FM.

Pamoja na Halimshauri kuwa nyanyasa watoa huduma za Lishe mitaani kwa kuwafukuza na kuwavunjia vibanda vyao bado watu kama hawa Raia wa kigeni wanawathamani na kutambua umuhimu wao wa kuweka mwili katika Lishe bora.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa wanaolilia uhusiano wa mapenzi na wageni au wazungu-2

Karibuni rafiki yangu Mzungu alikuwa Afrika.Taaluma yake ni uanahabari. Anaipenda sana Afrika na watu wake. Zamani babu yake aliishi India na alipinga sana ukoloni. Ana mke na watoto wawili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani