Hata wazungu wanawatambua kina Mama Lishe!
Pichani ni Raia wa Kigeni walipokutwa na Camera ya MOblog mjini Iringa wakijipatia mlo wa mchana kwa Mama Lishe wanaofanyabiashara zao ndani ya uzio wa kituo cha Redio Nuru FM.
Pamoja na Halimshauri kuwa nyanyasa watoa huduma za Lishe mitaani kwa kuwafukuza na kuwavunjia vibanda vyao bado watu kama hawa Raia wa kigeni wanawathamani na kutambua umuhimu wao wa kuweka mwili katika Lishe bora.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 May
Leo Ikiwa ni Siku ya Kina Mama Dunia, Hizi ni Jumbe za Baadhi Mastaa wa Bongo Movies kwa Mama Zao
Wema Sepetu
Today Happens to be Mother's Day.... And Since my mummy is the world's best mother it happens to also be her Birthday... Now that is nat just a coincidence, that is a Blessing... I jus get speechless trying to find the right words to say to this woman ryt here... But all in all is I jus wanna let u know on this special day that you are my Rock, my only pillar, the love of my life, you are all I got... And I wish u many more years of Life... I dont know what id do without you......
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/110.jpg)
MAMA, BABA LISHE SACCOS KUZINDULIWA DAR
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mama lishe walia na uchafu stendi Jamatin
WAFANYABIASHARA wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za chakula eneo la stendi ya Jamatin wamo katika hatari ya kupata magonjwa ya kuambukiza, yakiwemo kipindupindu kutokana na maji ya mvua yenye uchafu mbalimbali kutuama katika eneo hilo. Pamoja na kuwa kero kwa wapita njia, maji hayo yanatoa harufu mbaya.
11 years ago
TheCitizen07 Mar
Price-conscious members opt for ‘Mama Lishe’ food
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FI9dVgCQenA/U9K93_YHUVI/AAAAAAAF6aM/xm2bzpptlzw/s72-c/PIX+1.jpg)
MH. CHIKAWE AWAMWAGIA MISAADA MAMA LISHE MJINI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FI9dVgCQenA/U9K93_YHUVI/AAAAAAAF6aM/xm2bzpptlzw/s1600/PIX+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XG30iWHxv-Y/U9K95Pop1BI/AAAAAAAF6aU/B0yKa1uC9H0/s1600/PIX+2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y3Fxk04B81M/Xsy3eRtcERI/AAAAAAALriQ/QsxI0ighf3oYyY3eATWsS5bJHxVDhXWVwCLcBGAsYHQ/s72-c/kabidhi.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE
NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMEg3JkJgg/XlpouShYxiI/AAAAAAALgIQ/OhJgsn2PH7cw9EIwIcqX5n0fOr3yr_OJACLcBGAsYHQ/s72-c/98187af8-e45f-4bef-9220-2c2cc6833f3c.jpg)
BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXQr-jsmCC*fj3qHULW-io92n7M*fsIyxxRJp*YXnp*rvR-zOKmyjV6*I9BnfCKv73q07ry0G6UN3PVp7jziTvC2/tyy7.jpg?width=650)
SHILOLE: KINA MAMA WOTE NISAMEHENI
9 years ago
GPLMAMA, BABA LISHE WASHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA