Leo Ikiwa ni Siku ya Kina Mama Dunia, Hizi ni Jumbe za Baadhi Mastaa wa Bongo Movies kwa Mama Zao
Wema Sepetu
Today Happens to be Mother's Day.... And Since my mummy is the world's best mother it happens to also be her Birthday... Now that is nat just a coincidence, that is a Blessing... I jus get speechless trying to find the right words to say to this woman ryt here... But all in all is I jus wanna let u know on this special day that you are my Rock, my only pillar, the love of my life, you are all I got... And I wish u many more years of Life... I dont know what id do without you......
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Hizi ni baadhi ya jumbe za baadhi ya Wasanii wa Bongo movies wakionyesha kuguswa na wimbi la mauaji ya ndungu zetu wenye ulemavu wa ngozi
Shamsa Ford:
“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.
Riyama Ally:
“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Baadhi ya jumbe za Wasanii wa Bongo movies Kuhusu Mauaji ya Maalbino
Shamsa Ford:
“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.
Riyama Ally:
“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Kanumba Day: Jumbe Mbalimbali za Mastaa wa Bongo Movies
Leo imetimia miaka mitatu tangu aliekuwa staa nguli wa Bongo Movies, Steven Kanumba afariki dunia, hizi ni baadhi ya jumbe ambazo mastaa kutoka Bongo Movies wameziandika kuonyesha kumbukumbu zao kwa staa huyo.
Ni siku ambayo siwezi kusahau maisha yangu yote pumzika kwa amani kanumba wangu., nilikupenda ila mungu alikupenda zaidi . Pumzika kwa amani.
Johari
Huwezi kutaja mafanikio ya bongo movies bila kukutaja wewe...tunakuthamini na tunakukumbuka milele
JB
Steven Charles Kanumba pengo...
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Steve Nyerere Awapa Makavu Baadhi ya Mastaa Wenzake wa Bongo Movies
Staa wa bongo movies, Steve Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema hana mpango na shutuma mbalimbali zinazosemwa na baadhi ya wasanii wenzake kwani Mungu atamlipa kutokana na uvumilivu wake
Steve nyerere aliyasema hayo na kuweka wazi kuwa kuna watu wanamchafua ambao hawana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kutupia picha kwenye mitao ya kijamii na kujinadi kwa nyumba nzuri na na magari ya kuazima.
“ Unajua kuna mambo kibao ya kufanya katika jamii lakini watu hawayaoni zaidi ya majungu tu hao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7O-g14N92-LffEAEbHjUuYEMo2Q8LwlrGof5Vxyoj75vqdlqHmY0KeTWI3K3d-MRnShnR3nOaFGBYnnkck*w3e5/Loraa.jpg)
MAMA LORAA: BONGO MOVIES IMEKOSA BODI YA USHAURI
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Bongo Movie wasaidia wodi ya kina mama Mwananyamala
BONGO Movie Club wametoa msaada katika wodi ya kina mama na watoto katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa vitu mbalimbali zikiwamo nguo za watoto,...
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Mastaa Bongo movie wazindua kampeni ya ‘Mama Ongea na Mwanao’
Siku ya jana, Agosti 20 wasanii kutoka kwenye tasnia ya filamu nchini, Steve Nyerere, Wema Sepetu, Batuli, Snura, Wastara na wengineo wamezindua kampeni mpya iitwayo Mama Ongea Na Mwanao.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kampeni hiyo Steve Nyerere akizungumza na waandishi wa habari alisema…‘Mimi kama Mwenyekiti wa Mama ongea na mwanao ni kwamba hii Mama ongea na mwanao nadhani mmeona tangu tumepata uhuru nchi yetu haijawahi kuwa na makamu urais mwanamke hii ni historia kwa Tanzania mimi na imani...
9 years ago
Bongo530 Dec
Hizi njia 5 wasanii wa Bongo wanaweza kuuza albamu zao kwa faida
![Prof Jay - Machozi Jasho Na Damu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Prof-Jay-Machozi-Jasho-Na-Damu-300x194.jpg)
Kwa sasa muziki wa Bongo Flava umefanikiwa kuvuka mipaka ya kimataifa kwa kiwango kikubwa. Jambo la kusikitisha ni kuwa kukua kwa muziki wetu kumeshindwa kuimarisha soko la mauzo ya album za wasanii wetu.
Kila msanii amekuwa akilalamikia ukiritimba uliokithiri katika usambazaji wa albamu zao suala linalopelekea wasanii wengi kutotoa albamu. Kiuhalisia ni kuwa albamu siku zote ni kipimo cha ubora wa msanii yeyote yule duniani.
Vuta pumzi kisha zirudishe nyuma kumbukumbu zako,HOMA YA DUNIA,...