Mama lishe walia na uchafu stendi Jamatin
WAFANYABIASHARA wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za chakula eneo la stendi ya Jamatin wamo katika hatari ya kupata magonjwa ya kuambukiza, yakiwemo kipindupindu kutokana na maji ya mvua yenye uchafu mbalimbali kutuama katika eneo hilo. Pamoja na kuwa kero kwa wapita njia, maji hayo yanatoa harufu mbaya.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL
MAMA, BABA LISHE SACCOS KUZINDULIWA DAR
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Hata wazungu wanawatambua kina Mama Lishe!
Pichani ni Raia wa Kigeni walipokutwa na Camera ya MOblog mjini Iringa wakijipatia mlo wa mchana kwa Mama Lishe wanaofanyabiashara zao ndani ya uzio wa kituo cha Redio Nuru FM.
Pamoja na Halimshauri kuwa nyanyasa watoa huduma za Lishe mitaani kwa kuwafukuza na kuwavunjia vibanda vyao bado watu kama hawa Raia wa kigeni wanawathamani na kutambua umuhimu wao wa kuweka mwili katika Lishe bora.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
5 years ago
Michuzi
BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
11 years ago
Michuzi
MH. CHIKAWE AWAMWAGIA MISAADA MAMA LISHE MJINI NACHINGWEA


5 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE
NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...
11 years ago
TheCitizen07 Mar
Price-conscious members opt for ‘Mama Lishe’ food
5 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO
NA DENIS MLOWE,IRINGA
STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.
Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...
10 years ago
GPLMAMA, BABA LISHE WASHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA