Waarabu, Wazungu walivyochangia kukua na kuenea Kiswahili
Katika karne ya 19, Afrika Mashariki iliingia kwenye uhusiano na mataifa mengine kama vile Ujerumani na Uingereza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Sababu za kuenea Kiswahili kabla na wakati wa ukoloni
Ukuaji na ueneaji ni maneno mawili yenye maana zinazokaribiana lakini zinazotofautiana. Ukuaji humaanisha ongezeko la msamiati katika lugha na ueneaji ni uongezekaji wa matumizi ya lugha kieneo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypmxjKGh3QOzdzNGP3i5s-N4-WnqVsGfziK6-TVH5APsNg*20cWxQUuIiF**JVGbiiym19pnhsZg-jVFCCwoW51n/1.gif?width=650)
Yanga SC yawaotea Waarabu
Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, jeuri sana, kwani amefanya mazoezi mara mbili na kikosi chake kisha akawasisitizia wachezaji wake kwamba, wote lazima wakabe kisawasawa kuanzia mwanzo hadi mwisho katika mchezo wao dhidi ya Etoile du Sahel leo Jumamosi usiku. Yanga ipo jijini hapa tangu juzi kujiandaa na mchezo wake wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Etoile du Sahel...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY1pFIPQwHswqJA3IIkeuRABr7oNzIl1Xzv2UkV5kZIQ3wUhuJB2f2oAQOX9VnKJR1jd7fyIyqoloKLQ5ZkVmsdE/1.jpg?width=650)
KIAMA CHA WAARABU
Na Saleh Ally, Cairo
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, wanaondoka leo kwenda mjini Alexandria kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya Al Ahly ambao wana mbinu nyingi za nje na ndani ya uwanja. Hakuna ubishi mechi ni ngumu, lakini Yanga wakijipanga, wakatulia na kufanya wanachotaka kukifanya, huenda kikawa ni kiama cha Waarabu hao wanaoongoza kwa kuchukua makombe ya kimataifa kuliko klabu yoyote duniani. Mechi ya kwanza,...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Yanga kuwasikilizia Waarabu Bagamoyo
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo kutoka visiwani Comoro na watakwenda kujichimbia kambini Bagamoyo mkoani Pwani. Yanga juzi ilifanikiwa kusonga mbele baada ya...
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Netanyahu atahadharisha Waisraeli Waarabu
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema usalama utaimarishwa zaidi katika maeneo ya Wairsaeli Waarabu baada ya mshambuliaji kuua watu wawili mjini Tel Aviv.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnIJCklPn-dcHWZf9audHgmklSjuaM*1dQOsFsSmpzkoho4FcyVP0bM8JE30mSWlCmFfv5vlL0ZhnBjAY8UQ-Jok/okwi.jpg?width=650)
Waarabu wampa Okwi sh 800M
PAMOJA na kuelezwa kuwa thamani ya mshambuliaji Emmanuel Okwi imeshuka hadi dola 205,000 (Sh milioni 328), klabu ya Al Ain ya Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza dola 500,000 (zaidi ya Sh milioni 800) ili kumnasa. Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Al Ain ndiyo timu anayochezea mshambuliaji nyota wa Ghana, Asamoah Gyan na imekubali kumlipa Okwi kitita cha dola 10,000 (Sh milioni 16) kwa mwezi, yeye mwenye anajua. Iwapo biashara hiyo...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
Ngeli ni vikundi vya majina ya Kiswahili. Ngeli za nomino ni utaratibu unaotumika kuweka nomino katika matabaka au makundi yanayofanana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania