Fomu za urais Chadema kaa la moto
>Wakati leo saa 10 jioni ndiyo muda wa mwisho uliopangwa kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais ndani ya Chadema, hadi sasa hakuna mwanachama hata mmoja aliyejitokeza kuzichukua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/LOWASA-1.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA URAIS CHADEMA
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema. WAZIRI MKUU wa zamani, Mhe. Edward Lowassa hivi punde amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Lowassa amekabidhiwa fomu hiyo na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kwenye ofisi za Makao Makuu ya chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. Lowassa alijiunga rasmi na Chadema juzi akitokea...
10 years ago
Michuzi01 Aug
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA KUREJESHA FOMU LEO
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU MGOMBEA URAIS KUREJESHA FOMU
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa baada ya hatua ya kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa ndani ya chama kugombea nafasi ya urais, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kesho (LEO) Agosti 1, 2015 atarejesha fomu yake kwa ajili ya taratibu zingine za ndani ya chama.
Shughuli hiyo itafanyika kuanzia saa 9.00 jioni, ambapo mgombea atakabidhi fomu yake Ofisi ya Katibu Mkuu, Makao...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSU MGOMBEA URAIS KUREJESHA FOMU
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa baada ya hatua ya kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa ndani ya chama kugombea nafasi ya urais, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kesho (LEO) Agosti 1, 2015 atarejesha fomu yake kwa ajili ya taratibu zingine za ndani ya chama.
Shughuli hiyo itafanyika kuanzia saa 9.00 jioni, ambapo mgombea atakabidhi fomu yake Ofisi ya Katibu Mkuu, Makao...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/LOWASA-2.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS CHADEMA
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa  Abdallah Safari (kushoto)  akipokea fomu kutoka kwa Waziri Mkuu wa Zamani,  Edward Lowassa. Ester Bulaya (wa kwanza kushoto waliovaa fulana) akiwa ukumbini kumshuhudia Edward Lowassa akirudisha fomu ya kugombea urais ndani ya chama. PICHA ZAIDI BONYEZA HAPA ===>…
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lowassa achukua fomu ya kuwania urais kupitia Chadema
>Kada mpya wa Chadema, Edward Lowassa jana alichukua tena fomu ya kuwania urais lakini safari hii si kwa tiketi ya CCM, katika hafla ambayo ilishuhudiwa na umati mkubwa wa watu uliosababisha Mtaa wa Ufipa kufungwa kwa saa tatu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-b8F85fuLZrw/Vb3Oo5KI9DI/AAAAAAABTAE/VtEnFm5Cai0/s72-c/1.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b8F85fuLZrw/Vb3Oo5KI9DI/AAAAAAABTAE/VtEnFm5Cai0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qdEX4XPJnFo/Vb3OosTgmBI/AAAAAAABTAI/d9IN476eGRo/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ql4_IZVgXvI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_If037eCTxQ/VboLgrAIBlI/AAAAAAABS6E/ZLfwS2enuTE/s72-c/Lowassa1.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA NA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-_If037eCTxQ/VboLgrAIBlI/AAAAAAABS6E/ZLfwS2enuTE/s640/Lowassa1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CHPfG6CPSTg/VboLlLW-jUI/AAAAAAABS6U/BcfiXG-4DZ0/s640/lowassa2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dk6P2ddB1rc/VboLhC2zKhI/AAAAAAABS6I/Ccp1ZW6O6F0/s640/11059601_385091355016802_8885760366441846382_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s72-c/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
MGOMBE URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASSA KUCHUKUA FOMU TAREHE 10/08/2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s640/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s72-c/IMG-20150810-WA0000.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWALD LOWASSA (CHADEMA) KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s640/IMG-20150810-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aLdBUdKNN28/VchsFwv3mtI/AAAAAAAHvn4/ctEV65OX4ms/s640/IMG-20150810-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khdJO3NGAYE/VchsGoRVQjI/AAAAAAAHvoM/a-5giYSU37Q/s640/IMG-20150810-WA0006.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania