Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: Kemea Udini kwenye kampeni za Uchaguzi — Zitto Kabwe

Zitto+Kabwe+PHOTO

Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA ZITTO KABWE MKOANI TABORA

 Zitto akionyesha nguo za chama za Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Wilaya ya Urambo Bakari Humbe, aliyeamua kuhama Chama Cha Mapinduzi. (Picha na Said Powa)Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Urambo Mkoani Tabora huku akinyeshewa mvua majira ya mchana jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara ya kusaka uungwaji mkono na wananchi. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora kwenye viwanja vya Shule ya...

 

11 years ago

CloudsFM

ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX

Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

VIDEO: Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.

Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.


 

11 years ago

Mtanzania

Zitto alia na rushwa kwenye uchaguzi

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

NA GRACE SHITUNDU

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika vyama vya siasa nchini wamekuwa wakivunja sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010.

Alisema hatua ya kushindwa kuwasilisha ripoti ya matumizi ya fedha za uchaguzi kwa wagombea wa ubunge, urais na udiwani inakwenda kinyume na sheria.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akizungumzia ripoti ya utafiti wa rushwa...

 

9 years ago

Bongo5

Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)

Kuna mgawanyiko mkubwa wa wasanii katika machaguo yao ya wapi waegemee kwenye kipindi hiki cha uchaguzi. Wasanii wengi wanaonekana kuchukuliwa na chama tawala zaidi kwenye mikutano yake ya kampeni lakini pia wapo kibao waliopo upande wa muungano wa vyama vya Ukawa. Kuna wengine ambao pamoja na kuombwa kushiriki kwenye kampeni hizo wamekataa kwa kile wanachoamini […]

 

11 years ago

Bongo5

Video: Jimmy Kabwe achukua nafasi ya ML Chris kwenye The Big Easy ya Choice FM

Mtangazaji mkongwe wa redio nchini na mmoja wa watangazaji wa kwanza kabisa wa Clouds FM, Jimmy Kabwe, amechukua nafasi ya Chris Lugoe aka ML Chris kwenye kipindi cha The Big Easy cha Choice FM ambapo atakuwa akishirikiana na Abby. “Kwakweli Choice FM is my choice,” Kabwe ameiambia Bongo5 kwenye mahojiano maalum. “Muda ulipofika wa mimi […]

 

9 years ago

GPL

VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani