Nyalandu ‘alia’ na rafu za kisiasa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameeleza kusikitishwa kwake na siasa chafu zinazoanza kufanywa dhidi yake, ikiwa ni siku chache tangu atangaze kuwania Urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Kafulila alia kuchezewa rafu na Nec
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Zitto alia rafu za CCM majimboni
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
CCM rafu tupu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na makada wa Chama cha ACT-Tanzania, wanadaiwa kuendesha mkakati wa kuvuruga uchaguzi wa kitaifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuzima...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Lowassa amchezea rafu Pinda
KINYANG’ANYIRO cha urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepamba moto baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia na hivyo kudaiwa kutibua mipango ya mtangulizi wake, Edward...
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Lowassa alalamika kuchezewa rafu na polisi
SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amelalamikia rafu alizodai kuchezewa na Jeshi la Polisi kwa nia ya kukibeba Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Malalamiko hayo ameyatoa jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa Lowassa, Jeshi la Polisi limewakamata vijana 192 wa chama hicho waliokuwa wakifanya kazi ya kupokea na kujumlisha matokeo ya nchi nzima.
Baada ya vijana hao kukamatwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
CUF yalia rafu chaguzi za udiwani
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimelaani matumizi makubwa ya nguvu za dola zisizo halali wakati wa chaguzi mbalimbali za madiwani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Naibu...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Wapinzani walia CCM kuwachezea rafu
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
CHADEMA yalia rafu serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (CHADEMA), kimelia kufanyiwa fitna mbalimbali ili kukifanya kisishiriki ipasavyo uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 4 mwaka huu. Kati ya mbinu hizo...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
CHADEMA walia kuchezewa rafu Singida Kaskazini
Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA jimbo la Singida kaskazini,Theodory Hango,(kulia anayeangalia kamera) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya CHADEMA kulaani vikali ukiukwaji wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaoendelea nchini kote.Hango amedai CCM wameanza mchezo mbaya dhidi ya CHADEMA ikiwa ni pamoja na kukaa kutoa fomu kwa waombaji uongozi kutoka CHADEMA,hadi waonyeshe stakabadhi za kulipa michango ya ujenzi wa maabara. Kulia ni mwenyekiti...