CUF yalia rafu chaguzi za udiwani
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimelaani matumizi makubwa ya nguvu za dola zisizo halali wakati wa chaguzi mbalimbali za madiwani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Naibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
CHADEMA yalia rafu serikali za mitaa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (CHADEMA), kimelia kufanyiwa fitna mbalimbali ili kukifanya kisishiriki ipasavyo uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 4 mwaka huu. Kati ya mbinu hizo...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
CUF wadai kuchezewa rafu marudio Uchaguzi Serikali za Mitaa
11 years ago
Habarileo21 Jun
Madiwani 5 CCM, mmoja CUF wavuliwa udiwani
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Kagera, imewavua madiwani sita nyadhifa zao baada ya kubainika kuwa, walishindwa kuhudhuria vikao vya kikanuni vya halmashauri ya manispaa hiyo, hivyo kupoteza sifa za kuendelea kuwa madiwani. Madiwani hao waliovuliwa nyadhifa zao jana, pia wametakiwa kulipa gharama za kesi hiyo.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s72-c/cuf%2B1.jpg)
WAGOMBEA UWAKILISHI NA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA CUF WAFIKA OFISI ZA ZEC KUCHUKUA FOMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s640/cuf%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u4ooQdXeNNc/VdjJtviPjSI/AAAAAAAB56Q/e9eCuM9tTXE/s640/cuf%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NMMP4Cjq7fY/VdjJtw-0NoI/AAAAAAAB55Q/l7_mE7nm79I/s640/cuf%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YfvF9wQcdk/VdjJuU-wb0I/AAAAAAAB55U/YjQlpS39t-o/s640/cuf%2B4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlTdPR1mbEc/VdjJvBl7nSI/AAAAAAAB55Y/2gnBrRC4KgU/s640/cuf%2B5.jpg)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
CCM rafu tupu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na makada wa Chama cha ACT-Tanzania, wanadaiwa kuendesha mkakati wa kuvuruga uchaguzi wa kitaifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuzima...
10 years ago
Habarileo08 Jan
Nyalandu ‘alia’ na rafu za kisiasa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameeleza kusikitishwa kwake na siasa chafu zinazoanza kufanywa dhidi yake, ikiwa ni siku chache tangu atangaze kuwania Urais katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Lowassa amchezea rafu Pinda
KINYANG’ANYIRO cha urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepamba moto baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia na hivyo kudaiwa kutibua mipango ya mtangulizi wake, Edward...
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Zitto alia rafu za CCM majimboni