Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa alalamika kuchezewa rafu na polisi

Pg 2 oktb 27SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amelalamikia rafu alizodai kuchezewa na Jeshi la Polisi kwa nia ya kukibeba Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Malalamiko hayo ameyatoa jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Kwa mujibu wa Lowassa, Jeshi la Polisi limewakamata vijana 192 wa chama hicho waliokuwa wakifanya kazi ya kupokea na kujumlisha matokeo ya nchi nzima.

Baada ya vijana hao kukamatwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kafulila alia kuchezewa rafu na Nec

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ameituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kushirikiana na mtu aliyemwita kigogo kucheza mchezo wa kuhakikisha anashindwa katika kesi aliyofungua Mahakama Kuu kuiomba itengue ushindi wa Hasna Mwilima (CCM), na kumtangaza kada huyo wa NCCR-Mageuzi kuwa mbunge.

 

10 years ago

Dewji Blog

CHADEMA walia kuchezewa rafu Singida Kaskazini

DSC02474

Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA jimbo la Singida kaskazini,Theodory Hango,(kulia anayeangalia kamera) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya CHADEMA kulaani vikali ukiukwaji wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaoendelea nchini kote.Hango amedai CCM wameanza mchezo mbaya dhidi ya CHADEMA  ikiwa ni pamoja na kukaa kutoa fomu kwa waombaji uongozi kutoka CHADEMA,hadi waonyeshe stakabadhi za kulipa michango ya ujenzi wa maabara. Kulia ni mwenyekiti...

 

10 years ago

Mwananchi

CUF wadai kuchezewa rafu marudio Uchaguzi Serikali za Mitaa

Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kufanyika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika maeneo ambayo uchaguzi huo uliahirishwa, Chama cha  Wananchi (CUF) kimeibuka na kudai kuwa kuna mipango imepangwa kuhakikisha kuwa chama hicho hakipati ushindi.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Edward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali

Aliyekua mgombea Urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA Mh.Edward Lowassa amelalamikia baadhi ya watendaji wa serikali kwa kuwaandama na kuwatisha wananchi na wafanyabiashara waliokuwa wanaunga mkono vyama vya upinzani na amezitaka idara zinazohusika kuchukua hatua ili kuepusha matatizo yasiyo ya lazima.Akizungumza katika ibada maalum ya kukaribisha mwaka mpya

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lowassa amchezea rafu Pinda

KINYANG’ANYIRO cha urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepamba moto baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia na hivyo kudaiwa kutibua mipango ya mtangulizi wake, Edward...

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika

MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.

 

10 years ago

GPL

OYA SISTA UKIGEUZA UZURI WAKO MTAJI, UTAISHIA KUCHEZEWA!

Niaje…niaje wanangu na maduu wa ukwehe? Inakuwa nini watu wangu wa nguvu? Imekuwa fasta kinoma na tumekutana tena, huwezi kuamini kama kitu cha wiki kimekatika. Enewei ndo kama hivo kachala wako nipo chuma kabisa nimeshatokelezea rede kukisanua hapa kwa fasi ya jamvini. Wanangu kitu cha mvua kimezingua bati kwani kuna maproblemu? Hakuna tatizo. Basi jiti! Tudei namaindi kukusanua na ishu moko hivi ambayo mazee naona kama...

 

10 years ago

Bongo5

Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’

Producer wa hits mbili za Diamond Platnumz ‘Number One’ na ‘Ntampata Wapi’ alionekana kufurahia mafanikio ya Diamond kwenye tuzo za Channel O, lakini kitu kimoja hakijakaa sawa moyoni mwake. Sheddy amesema ameshangazwa baada ya kutoona jina lake likiandikwa kwenye video ya ‘Ntampata Wapi’. “Biashara kweli ni matangazo na nilitakiwa niandikwe kweli kwenye ile video, lakini […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM rafu tupu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na makada wa Chama cha ACT-Tanzania, wanadaiwa kuendesha mkakati wa kuvuruga uchaguzi wa kitaifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuzima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani