Lowassa alalamika kuchezewa rafu na polisi
SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amelalamikia rafu alizodai kuchezewa na Jeshi la Polisi kwa nia ya kukibeba Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Malalamiko hayo ameyatoa jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa Lowassa, Jeshi la Polisi limewakamata vijana 192 wa chama hicho waliokuwa wakifanya kazi ya kupokea na kujumlisha matokeo ya nchi nzima.
Baada ya vijana hao kukamatwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Kafulila alia kuchezewa rafu na Nec
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
CHADEMA walia kuchezewa rafu Singida Kaskazini
Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA jimbo la Singida kaskazini,Theodory Hango,(kulia anayeangalia kamera) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya CHADEMA kulaani vikali ukiukwaji wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaoendelea nchini kote.Hango amedai CCM wameanza mchezo mbaya dhidi ya CHADEMA ikiwa ni pamoja na kukaa kutoa fomu kwa waombaji uongozi kutoka CHADEMA,hadi waonyeshe stakabadhi za kulipa michango ya ujenzi wa maabara. Kulia ni mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
CUF wadai kuchezewa rafu marudio Uchaguzi Serikali za Mitaa
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-i7PdXL25xqQ/VohiT2BIquI/AAAAAAAAXnk/ulMfRG79iB8/s72-c/1.jpg)
Edward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Lowassa amchezea rafu Pinda
KINYANG’ANYIRO cha urais wa 2015 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepamba moto baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia na hivyo kudaiwa kutibua mipango ya mtangulizi wake, Edward...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika
MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrOFOIAbKghkdwleeT6NYOfJPpLfz6EJ38PuQ6QSJo3KEU8U2Rr2rRrUR6joomYh2A*uh6Rbd3*WuOj41C2fnSq0/mpekepeke.jpg)
OYA SISTA UKIGEUZA UZURI WAKO MTAJI, UTAISHIA KUCHEZEWA!
10 years ago
Bongo502 Dec
Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
CCM rafu tupu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na makada wa Chama cha ACT-Tanzania, wanadaiwa kuendesha mkakati wa kuvuruga uchaguzi wa kitaifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili kuzima...