Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYA SISTA UKIGEUZA UZURI WAKO MTAJI, UTAISHIA KUCHEZEWA!

Niaje…niaje wanangu na maduu wa ukwehe? Inakuwa nini watu wangu wa nguvu? Imekuwa fasta kinoma na tumekutana tena, huwezi kuamini kama kitu cha wiki kimekatika. Enewei ndo kama hivo kachala wako nipo chuma kabisa nimeshatokelezea rede kukisanua hapa kwa fasi ya jamvini. Wanangu kitu cha mvua kimezingua bati kwani kuna maproblemu? Hakuna tatizo. Basi jiti! Tudei namaindi kukusanua na ishu moko hivi ambayo mazee naona kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

UZURI NA UMBO SIYO FIMBO YA KUMPIGIA MUME WAKO!

Siku zote nimeweka mdomoni neno linalosema kuwa mwanaume ni kifaa adimu kwa sababu watu wanamaliza waganga, wanafanya matambiko ili wapate waume. Cha ajabu kuna wanawake ambao Mwenyezi Mungu amewapa wanaume lakini hawajitumi, wapo wapo tu! Mfano, unakuta mume anafua mwenyewe, mume njaa inamuuma mke yupo anaangalia TV au kaenda kuzurura. Mume anavaa nguo chafu kisa mke hajali suala la kufua. Jamani mume kwa mke ni kama mtoto,...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NAKAAYA - SISTA SISTA ft. LADY JAY DEE (Download)



" I wrote this record in 2009 alongside an artist that i had looked up to, whom later on became a dear friend @jidejaydee It was produced by @dunga_santury_trinity at Fishcrab studios. The idea behind the song was an artistic idea of two close friends/ sistas dating the same man, and the expression of the frustration that comes with it.  we had a great time creating #sistasista" - NAKAAYA


Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nakaaya Ft Lady Jay Dee – Sista Sista

artist_85e17a792a137725bd638accbd98ec0249.jpg

Sikiliza hapa wimbo unaitwa “Sista Sista” kutoka kwa msanii Nakaaya amemshirikisha Lady Jay Dee,Studio Mandugu Digito.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’

Kwa mwanamuziki kufanya kazi kwa mara ya kwanza na muimbaji aliyekuwa akimchukulia kama mtu wake wa mfano, wasiwasi si jambo la kushangaza. Hali hiyo ndio ilimkuta Nakaaya wakati akirekodi wimbo na Lady Jaydee, Sista Sista mwaka 2009. “Niliandika wimbo huu mwaka 2009 pamoja na msanii niliyekuwa namwangalia, ambaye baadaye alikuja kuwa rafiki mkubwa, Lady Jaydee. […]

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa alalamika kuchezewa rafu na polisi

Pg 2 oktb 27SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amelalamikia rafu alizodai kuchezewa na Jeshi la Polisi kwa nia ya kukibeba Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Malalamiko hayo ameyatoa jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Kwa mujibu wa Lowassa, Jeshi la Polisi limewakamata vijana 192 wa chama hicho waliokuwa wakifanya kazi ya kupokea na kujumlisha matokeo ya nchi nzima.

Baada ya vijana hao kukamatwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kafulila alia kuchezewa rafu na Nec

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ameituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kushirikiana na mtu aliyemwita kigogo kucheza mchezo wa kuhakikisha anashindwa katika kesi aliyofungua Mahakama Kuu kuiomba itengue ushindi wa Hasna Mwilima (CCM), na kumtangaza kada huyo wa NCCR-Mageuzi kuwa mbunge.

 

10 years ago

Dewji Blog

CHADEMA walia kuchezewa rafu Singida Kaskazini

DSC02474

Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA jimbo la Singida kaskazini,Theodory Hango,(kulia anayeangalia kamera) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya CHADEMA kulaani vikali ukiukwaji wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaoendelea nchini kote.Hango amedai CCM wameanza mchezo mbaya dhidi ya CHADEMA  ikiwa ni pamoja na kukaa kutoa fomu kwa waombaji uongozi kutoka CHADEMA,hadi waonyeshe stakabadhi za kulipa michango ya ujenzi wa maabara. Kulia ni mwenyekiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani