Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea CCM alia kusahauliwa

MMOJA wa wanachama wa CCM aliyejitokeza kuwania urais, Joseph Chaggama amesema vyombo vya habari vimemsahau, lakini akaahidi kuwa akipewa nafasi hiyo atafanya mageuzi makubwa katika kushughulikia rushwa na utawala wa sheria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mgombea urais alia kuombwa rushwa

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.MMOJA wa makada 39 wa CCM waliojitosa kuwania kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania baadaye mwaka huu, Boniface Ndembo jana alirudisha fomu huku akilalamikia hali ya rushwa, akisema ni mbaya na kwamba kuna baadhi ya maeneo watu walitishia kumkataa kumdhamini kama asingetoa fedha.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji madini walia kusahauliwa

Shirikisho la Wachimba Madini Wadogo (Femata) limeazimia kwenda kuonana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kutokana na kundi hilo kutoshirikishwa katika Bunge Maalumu.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Mgombea wa Urais Dkt John Pombe Magufuli  kupitia Chama hicho katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais katika Ofisi za NEC Leo. 
  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Mgombea Mwenza  wa Urais Mh. Samia Suluhu  kupitia Chama hicho katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais katika Ofisi za NEC Leo.   Baadhi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto alia rafu za CCM majimboni

Chama cha ACT-Wazalendo kimelalamikia rafu  zinazodaiwa kufanywa na  CCM, dhidi ya wagombea ubunge wa chama hicho kwenye  majimbo mbalimbali ya Tanzania Bara.

 

9 years ago

Mwananchi

Mosha aacha siasa, alia na wanafiki ndani ya CCM

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini (CCM), Davis Mosha amedai kuwa chama hicho kimejaa wanafiki jambo lililochangia kuanguka kwake.

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA CCM APUKUTISHA UPINZANI LINDI, 61 WAJUNGA NA CCM WAMO VIONGOZI

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgombea mwenza CCM aupukutisha upinzani Lindi, 61 wajiunga CCM, wamo viongozi

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu. Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu. Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani