Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjadala ulioongozwa na Mjengwa; Cleopa Msuya na dhana ya maadili ya kiongozi urais 2015, sikiliza hapa

DSC_2797

Waziri mkuu Mstaafu Cleopa Msuya.

Kusikiliza mjadala huo ulioongozwa na Maggid Mjengwa kupitia kipindi cha “Soko la habari la Kariakoo” unaweza kubofya hapa

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Habarileo

Cleopa Msuya aacha siasa

RAIS Jakaya Kikwete juzi aliongoza mamia ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro, katika sherehe za kumuaga aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Cleopa Msuya, baada ya kutangaza kustaafu siasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Cleopa Msuya alazwa Muhimbili

Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

 

11 years ago

Mwananchi

Cleopa Msuya, Ali Suleiman waruhusiwa MNH

 Waziri Mkuu Mstaafu katika vipindi tofauti, Cleopa Msuya (84), ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), alipokuwa amelazwa, baada ya afya yake kuimarika.

 

10 years ago

Michuzi

IN MEMORIAM: 10TH ANNIVERSARY OF THE PASSING OF OUR BELOVED GEOFFREY CLEOPA MSUYA

Ten years have passed since you left us for eternal glory.
You may be physically gone, but you are forever treasured in our hearts and memories.
As we remember you today; we keep on thanking the Almighty God for the life we shared with you.
Always remembered and deeply missed by your father Mzee CD Msuya; wife Mary; sons Ngazo and Rumisha; sisters Joyce and Naanjela; brothers George, John, and Job; mother-in-law, sisters-in-law; brothers-in-law, nieces, nephews, relatives, and friends.
MAY...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA MSUYA ASTAAFU SIASA ,JK AMPONGEZA

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa viongozi wengine wakuu wa serikali chama cha Mapinduzi CCM, akiwemo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana (kushoto) katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania mara mbili katika awamu mbili tofauti, Mzee Cleopa David Msuya (wa kwanza kulia kwa Rais) ambaye amestaafu rasmi siasa baada ya kuitumikia kwa zaidi ya miaka 33.  Katibu wa CCM, wilaya ya Mwanga, akisoma historia fupi ya Mzee Msuya kabla...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjengwa; Kiongozi mstaafu anayefuga na kulima

>Ni siku tulivu ambayo jua linawaka katika Bonde la Usangu lililopo Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya ambapo nawasili nyumbani kwa Ofisa Mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania  ambaye pia alikuwa mwanasiasa na sasa amegeuka kuwa mfugaji  katika pori kubwa  analomiliki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani