Mjengwa; Kiongozi mstaafu anayefuga na kulima
>Ni siku tulivu ambayo jua linawaka katika Bonde la Usangu lililopo Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya ambapo nawasili nyumbani kwa Ofisa Mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania ambaye pia alikuwa mwanasiasa na sasa amegeuka kuwa mfugaji katika pori kubwa analomiliki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mjadala ulioongozwa na Mjengwa; Cleopa Msuya na dhana ya maadili ya kiongozi urais 2015, sikiliza hapa
Waziri mkuu Mstaafu Cleopa Msuya.
Kusikiliza mjadala huo ulioongozwa na Maggid Mjengwa kupitia kipindi cha “Soko la habari la Kariakoo” unaweza kubofya hapa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200316-WA0070.jpg)
JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA JAJI MSTAAFU MUSHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaSOybLRPdw/XnJKuo0BrvI/AAAAAAALkUc/OW43cid0J7kdyJiJD5_7NktsRzSziX9BACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0070.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xLiFUuXCFJ8/XnJKu7g_35I/AAAAAAALkUk/P8U595vEeloIgViJ9NWxVfNOlcSfw18dwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200316-WA0068.jpg)
5 years ago
CCM BlogMWANAHABARI MWAIKENDA USO KWA USO NA KATIBU MKUU KIONGOZI MSTAAFU LUHANJO KIJIJINI LAMWATI
Nilipita eneo hilo nikiwa katika harakati za kutafuta fursa za kilimo cha zao la Parachichi linalostawi vilivyo mkoani Njombe. Luhanjo ni miongoni mwa wakulima wazuri wa zao hilo.
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya asherehekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake huku Waziri Mkuu mstaafu Msuya akiwaasa watanzania
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya amewaomba watanzania kuwa na tabia ya utii wa sheria, uaminifu na uadilifu katika nafasi zao wanazozitumukia katika Taifa la Tanzania.
Msuya aliyasema hayo katika sherehe ye kuadhimisha miaka 85 ya kuzaliwa ya aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Philemoni Mgaya iliyofanyika katika Hotel ya Protea , Court Yard jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu alieleza kuwa tabia aliyoionyesha Mgaya wakati wa utumishi wake serikalini...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog
KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uiH450RyqHA/U3liiqOiX-I/AAAAAAAAHBc/5C2QzPVyg_8/s72-c/Majid+Mjengwa.jpg)
Kwanza Production yafanya Mahojiano ya Mwanalibeneke Maggid Mjengwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-uiH450RyqHA/U3liiqOiX-I/AAAAAAAAHBc/5C2QzPVyg_8/s1600/Majid+Mjengwa.jpg)
Karibu katika mahojiano mwanahabari makini na wa muda mrefu ambaye pia ni mmiliki wa Kwanza Jamii, Maggid Mjengwa na Mubelwa Bandio wa Kwanza Production. Amegusia mambo mbalimbali kama masuala ya uandishi, siasa (kama mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba) na mwenendo mzima wa nchi ya Tanzania. Huu ni mfululizo wa mazungumzo na watu mbalimbali kuhusu masuala tofauti yaliyo muhimu kwa mustakabali wa nchi za Afrika Mashariki Karibu Kwa maoni, tafadhali wasiliana nasi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-USsI6xBR_20/VYvzIqUE-sI/AAAAAAAHj7g/PpMGlgdQ2Pc/s72-c/IMG_2871.jpg)
MJENGWA KUUNGANISHA WATANZANIA WAISHIO NJE NA NDANI YA NCHI
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini , Dar es Salaam, Mratibu wa Watu Waishio Ughaibuni (Diaspora),Maggid Mjengwa amesema kutokana na kutambua uwepo watu milioni mbili wako nje nchi ambao wanatakiwa kushirikishwa katika masuala mbalilmbali yanayoendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ic9AALc8_SE/default.jpg)