WATOTO BADO WANAENDELEA KUDHULUMIWA UTOTO WAO- UMOJA WA MATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/--sp_y3XKsFk/ViNRmVVgTeI/AAAAAAAIAsU/fiCC1YTFiaA/s72-c/Child-soldier-2%2B-%2BCopy.jpg)
Picha hii kutoka maktaba inamwonyesha mtoto ambaye anatumika kama askari na hivyo kumnyima haki yake ya msingi ya kuishi utoto wake, pamoja na kupata huduma zake za msingi kama vile afya, elimu, malenzi na ukuaji wenye hadhi. Pamoja na Umoja wa Mataifa kuendelea na kampeni yake ya kupinga watoto kutumika kama askari, bado taarifa za hivi karibu za Umoja wa Mataifa, zinaeleza kuwa watoto bado wanaendelea kutumika katika baadhi ya maeneo kama askari, huku wengine wakiingizwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Umoja wa mataifa kuchukua hatua Yemen
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa
11 years ago
MichuziMWIGULU NCHEMBA ALONGA UMOJA WA MATAIFA