Kiongozi wa Wasabato duniani kuwasili leo
KIONGOZI wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson (pichani) anatarajiwa kuwasili nchini leo kwa ziara ya kikanisa ya siku nne.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Feb
Kiongozi wa Wasabato avutiwa na Tanzania
KANISA la Waadventista Wasabato (SDA) duniani limeipongeza Tanzania na Watanzania kwa kulinda amani nchini na pia kusaidia kuleta na kuinua kiwango cha amani na utulivu katika nchi nyingine katika eneo la Afrika Mashariki na Kati.
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA DIVISHENI YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WA KANISA LA WAADIVENTISTA WASABATO AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSINGI KATIKA KANISA LA WASABATO KIGAMBONI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgkfvmbwzoQ/VNUCE_JRwZI/AAAAAAAHCQ0/AKvsHW-aoe4/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA SHEREHE ZA UTUME (MISSION EXTRAVAGANZA) ZA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgkfvmbwzoQ/VNUCE_JRwZI/AAAAAAAHCQ0/AKvsHW-aoe4/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gRstGt7SCvk/VNUCEgV2oKI/AAAAAAAHCQs/Hgw9VWZdaNY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Mwili wa Mgimwa kuwasili leo
MWILI wa Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa (63), aliyefariki juzi nchini Afrika Kusini baada ya kuugua kwa muda mrefu, unatarajiwa kuwasili nchini leo. Akitangaza ratiba ya kuwasili kwa...
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Timu kuanza kuwasili leo
TIMU zinazoshiriki michuano ya Kagame zinatarajia kuanza kuwasili nchini leo na kesho kwa ajili ya michuano hiyo inayotarajia kutimua vumbi keshokutwa katika viwanja vya Taifa na Karume jijini Dar es Salaam.
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema jana kuwa timu zinazowasili leo ni Al Shandy (Sudan), Al Malakia (Sudan Kusini) na KMKM kutoka Zanzibar.
Alisema Al Shandy wanatarajiwa kuwasili leo saa 3 asubuhi na ndege ya (KQ), KMKM wakitarajiwa...
9 years ago
Habarileo18 Oct
Waangalizi wa EU kuwasili nchini leo
WAANGALIZI wa muda mfupi 60 kutoka Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU-EOM) watawasili Dar es Salaam leo ili kuangalia uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.
9 years ago
Michuzi14 Oct
MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aYXCtMiM1SrR4T-dKZInezrtNLUhQOv67Vj0gf9ayhrpBoaJ7l3YZIXzqp2G7TNKuuFV7nkK_aMgBQ2HqkudW9Mj1hHz07gXIqrmb4aTZEXzE4Gn38gHx-wlYvT89ju55rip96p7isqjFrFQiraMosGeyLbdR-0MarFXB-MER-F5xLjF6saM=s0-d-e1-ft#http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2911698/highRes/1146707/-/maxw/600/-/114434kz/-/Abdallah+Kigoda+Photo.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.
Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.
Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili...
9 years ago
Habarileo26 Sep
Mwili wa Kombani kuwasili Dar leo
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo saa 9 alasiri kutoka nchini India, alikofariki wakati akipatiwa matibabu ya saratani.