KOMBE LA KAGAME: Lazima tuwanyooshe
>Ni vita leo. Ndivyo unavyoweza kusema pale zinapokutana Yanga na Azam katika mchezo wa robo fainali ya mashindano ya Kagame kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Nov
Kombe la Kagame kufanyika Z’bar
CHAMA cha soka Zanzibar (ZFA ) kimethibitisha kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ‘Kombe la Kagame’ Julai mwakani.
10 years ago
GPLYANGA YAJIWINDA NA KOMBE LA KAGAME
Kocha Hans van Pluijm (mwenye kofia) akiwapa maelekezo wachezaji wake. Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa, akitoa maelekezo kwa wachezaji.
Mchezaji mpya wa Yanga, Lansana…
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5q5teEQPfO0/default.jpg)
10 years ago
VijimamboAZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015
10 years ago
MichuziKOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0
10 years ago
Mwananchi20 Jul
KOMBE LA KAGAME: Azam yainyuka KCCA
>Azam imefuta uteja kwa KCCA ya Uganda kwa kuichapa bao 1-0 katika mchezo wa kwanza kwa Kundi C wa mashindano ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Kombe la Kagame timu zote kuwasili leo
Timu zote zinazoshiriki michuano ya Kombe la Kagame zinatakiwa kufika mjini Dar es Salaam leo, na si zaidi ya hapo.
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Yanga yaisaka rekodi ya Simba kombe la Kagame
Yanga itashiriki kwenye Mashindano ya Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki (Kagame Cup) yatakayofanyika hapa nchini kuanzia mwezi Julai baada ya Tanzania kupewa uenyeji wa mashindano hayo.
10 years ago
Vijimambo09 Jun
Kazi ya kuliwinda kombe la Kagame yaanza Yanga
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/kikosi-cha-Yanga_Machi-2015-Confederation-Cup.jpg)
MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans kesho wanatarajia kuanza maandalizi ya ligi kuu msimu ujao pamoja na kombe la Kagame linalotarajia kuanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Julai 11 mwaka huu.Katibu mkuu wa Yanga, Dr. Jonas Tiboroha amesema mazoezi hayo yatakuwa yanafanyika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam chini ya kocha mkuu, Mholanzi, Hans van der Pluijm aliyetua Dar usiku wa kuamkia leo akitokea kwake nchini Ghana.
“Kazi imeanza, kesho asubuhi mazoezi ya kwanza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania