YANGA YAPANIA KUBAKI NA KOMBE LA KAGAME
![](http://img.youtube.com/vi/5q5teEQPfO0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLYANGA YAJIWINDA NA KOMBE LA KAGAME
Kocha Hans van Pluijm (mwenye kofia) akiwapa maelekezo wachezaji wake. Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa, akitoa maelekezo kwa wachezaji.
Mchezaji mpya wa Yanga, Lansana…
10 years ago
MichuziKOMBE LA KAGAME: YANGA YAIFUNGA KMKM 2-0
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Yanga yaisaka rekodi ya Simba kombe la Kagame
Yanga itashiriki kwenye Mashindano ya Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki (Kagame Cup) yatakayofanyika hapa nchini kuanzia mwezi Julai baada ya Tanzania kupewa uenyeji wa mashindano hayo.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Yanga yaendeleza 'siasa' mashindano ya Kombe la Kagame
Uongozi wa Yanga umetaja sababu nane zilizowafanya kutaka kupelekea kikosi chenye idadi kubwa ya wachezaji wa timu yao ya vijana (Yanga B) katika mashindano ya Kombe la Kagame yanayoanza kesho mjini Kigali, Rwanda.
10 years ago
Vijimambo09 Jun
Kazi ya kuliwinda kombe la Kagame yaanza Yanga
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/kikosi-cha-Yanga_Machi-2015-Confederation-Cup.jpg)
MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans kesho wanatarajia kuanza maandalizi ya ligi kuu msimu ujao pamoja na kombe la Kagame linalotarajia kuanza kutimua vumbi jijini Dar es salaam Julai 11 mwaka huu.Katibu mkuu wa Yanga, Dr. Jonas Tiboroha amesema mazoezi hayo yatakuwa yanafanyika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam chini ya kocha mkuu, Mholanzi, Hans van der Pluijm aliyetua Dar usiku wa kuamkia leo akitokea kwake nchini Ghana.
“Kazi imeanza, kesho asubuhi mazoezi ya kwanza...
9 years ago
Habarileo27 Oct
Yanga yapania pointi zote 3 kwa Mwadui
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga wamewasili salama mjini Shinyanga huku wakitamba kuvuna pointi zote tatu kwa kuishambulia Mwadui FC mwanzo mwisho katika mchezo wao wa Ligi Kuu unaotarajiwa kufanyika kesho.
9 years ago
Habarileo29 Nov
Kombe la Kagame kufanyika Z’bar
CHAMA cha soka Zanzibar (ZFA ) kimethibitisha kuwa Zanzibar itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ‘Kombe la Kagame’ Julai mwakani.
10 years ago
Mwananchi29 Jul
KOMBE LA KAGAME: Lazima tuwanyooshe
>Ni vita leo. Ndivyo unavyoweza kusema pale zinapokutana Yanga na Azam katika mchezo wa robo fainali ya mashindano ya Kagame kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboAZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania